Alikuwa anasisitiza nini huyu kiongozi wa dini katika mahubiri yake?
Acha ushambengo na umbea wako mambo gani hayo unataka kutuonesha yawezekana alikuwa anaonesha mahali so wakapiga kidole kimoja tu kabla ya vingine kunyanyuka...shida wabongo tunafikiria vibaya tu ndo maana hatuendelei
Acha ushambengo na umbea wako mambo gani hayo unataka kutuonesha yawezekana alikuwa anaonesha mahali so wakapiga kidole kimoja tu kabla ya vingine kunyanyuka...shida wabongo tunafikiria vibaya tu ndo maana hatuendelei
Kwanini uweke hisia zako? hapa tunaangalia picha inaonekanaje, vidole vingine kunyanyuka kwanini kianze hicho cha kati? Huyo si ni kiongozi wa wale jamaa walioandamwa na kashfa ile ya kunanihii...labda alikuwa akihimiza libeneke au akiwaasa wapunguze kidogo
Kwanini uweke hisia zako? hapa tunaangalia picha inaonekanaje, vidole vingine kunyanyuka kwanini kianze hicho cha kati? Huyo si ni kiongozi wa wale jamaa walioandamwa na kashfa ile ya kunanihii...labda alikuwa akihimiza libeneke au akiwaasa wapunguze kidogo
Alikuwa anasisitiza nini huyu kiongozi wa dini katika mahubiri yake?