Hili sio swala la kusoma kwenye msaafu au vipi, kwanini utoe kitu ambacho unakiona wewe hakifai au kilichochoka?? Sasa sadaka yyte ile ya kupendeza lazima kdg ikuumize pale unapotoa. mfano hai ni Ibrahim alipomtoa Isaka aliumia mana alikua ni wapekee imagine angekua na watoto wengi sidhan kama...
Ni kweli sadaka nzuri na ya kupendeza ni ile inayouuma Unapotoa, ila pia kuliko kuweka nguo zikakaa na kuozea ndani ni vyema kuzigawa mana kuna wahitaji zaidi ambao kwao wataziona zinafaa tu..
Hata kama wanawake tuna roho mbaya hiyo imezidi kwakwel, katika mazingira kama hayo walitakiwa kumsaidia tu, mana aibu si kwa yule aliyechafuka tu hata kwao mana nao ni wanawake pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.