Mwanamke kifua bwana!!

Mwanamke kifua bwana!!

Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Nisaidie hiyo mbinu dear, maana naishia tu kuvaa braa za masponji ili kuyaboost

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nayapenda makubwa mie
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Hebu tuone kapicha mkuu

Sent using my Audi A6 2017 model
 
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Kipigwa naniliiiuu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga Mkono hoja ila yasiwe makubwa sana,yawe ya wastani na manene mafupi unakuwa na umbile la kuvutia pia huku nyuma panatakiwa paumuke angalau utofauti wa mwanamke na mwanaume uwepo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya kitu nilikuwa natamani ni kuwa na ziwa kubwa kubwa hivi lakini nilikuwa najiuliza nalipataje manake nikijiangalia naona sina dalili ya kuyamiliki makubwa nayoyataka until i met this rafiki akanipa mbinu ya kulifanya liongezeke kidogo

Ndio kama hivi sa hivi ninalo hata nikivaa naonekana angalau
Daah tangu zamani hakuna kitu nilikuwa nachukia kama kuwa na ziwa kubwa nashukuru nilipata size ya kati ila nilitaka yapungue zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom