Mkuu umeo? au unaropoka tuu, vipi NGOMA ikienda MAHAKAMANI na yeye akakazia kabakwa. hujui kwamba wanawake wanasikilizwa na kuaminika zaidi kuliko sisi
Habari zenu wauu
lewekeke tuu kuwa Mimi ni mume wa mke wangu na MUNGU ametubariki watoto kadhaa
Kama munavyo jua kuhusu Tendo la ndoa kwenye ndoa, Kuna muda mke anaweza kujiachia kushiriki tendo na Kuna muda anaweza kukaza kwamba hataki, lakini ukiforce mazingira jambo linafanyika vizuri kabisa...
*TOYOTA IST
YEAR OF MANU 2005
ENGINE CC 1290
REG NUMBER #DHJ
*PRICE 8.7M *
IKO VIZUR IWAHI[emoji91]
0719921552 call
Mimi ndiye mmiliki ,Nimefulia sana Nahitaji Hela
Leo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
Habari wakuu..kuna sehem nimepita nimekuta mwanamke ana lalamika kuwa ameachana na mume wake mwaka 2016. Anadai hakudai Mali kabisa ila kwasasa anataka aanze mchakato wa kudai Mali ili apate mgawanyo wake..anadai yeye ndie alie kuwa chanzo cha mume wake huyo kufanikiwa kimaisha na kuwa na mali...
Habari wakuu,
Hii taa ya bluu Ina maanisha nini? Imekuwa ikiwaka muda ninaowasha gari na inapotea baada ya gari kutembea kidogo
Naomba kujuzwa ina maana gani?
Habari wakuu
Nahitaji gari ya kutembelea hapa mjini Dar. Gari iwe imenyooka sana na bajet yangu haizidi milioni 8
NB. Nataka gari nzuri iliyo nyooka na yenye muonekano mzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.