Huyu Jamaa kweli kafanana na Diamond Platnumz

switch Off

Member
Oct 30, 2019
48
186
Leo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe

mtoto%20mond%203.jpeg


Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
 
Wamefanana japo tatizo letu ndo hili hawana ubunifu hebu amuangalie yule mwenzie aliyejiitaga hamorapa ameishia wapi zaidi ya kuwa kituko tu.

Na hapo si ajabu mwishowe akataka kuishi hadi aina ya maisha anayoishi Mondi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom