switch Off
Member
- Oct 30, 2019
- 48
- 186
Leo nimebahatika kutazama video ya huyu Jamaa alie fanana na Diamond..mwanzoni sikiweza kutofautisha yaani nilijua ni Mond mwenyewe
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !
Toa maoni yako kuhusu huyo Jamaa !