Wanajamvii naomba mwnye kuelewa hli jambo anielekeze mana nimekukuruka sana bila mafanikio hivyo bas naomba anefaham anilekeze namna yakufuta PM.Asanteni
Dokta mzizi mkavu na mm naomba msaada wako hiyo thread ya dawa ya koo ilinipita sikubahatika kuiona na mm nina matatzo ya koo langu linanisumbua nikienda hospital nashindwa kupata tiba ya kudumu kwan baada ya mda linarud tena kweny hal yakama kuwa na kitu kisichoshuka na mida mingine huwa...
Hii tmu yenu ya IYENA IYENA yebo yebo mna matatzo sanaa mara shaffii dauda mara cjui clouds haiwepend kwahyo hlo litmu lenu lisisemwe kama likboronga liwe linasifiwa tu kwasababu ni la vigogo wa Iyena iyena
RAIS KIKWETE ACHAGULIWA KIONGOZI BORA AFRIKA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amechaguliwa kuwa Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa Zaidi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 .
Heshima hiyo kwa Rais Kikwete imetolewa na jarida maarufu la kimataifa...
Basi watawakamata wengi sanaa mana kuna baadhi ya wasanii wa bongo fleva wanawapigia promo kijanja ingia hapa uone maelezo yao
http://focus-vicoba.wapka.mobi/registration_site.xhtml?do_id=
Habari za humu ndani ngugu zangu!
Nadhani mlio wengi mtakuwa mna ufaham kuhusu hii taasisi ya mikopo inayoitwa VIKOBA,,kuna kitu nimekiona mtandaoni kuwa unaweza kupata mkopo ndani ya dakika 55 baada yakutoa Akiba yako ambayo inaanzia elfu hamsini mpaka milion moja,,na dhamna ni shilingi laki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.