Ni kweli mkuu lusato mim niko mbozi hiz wiki mbili wanakata siku moja kuanzia saa 2 asubuh had saa 12 jion siku inayofuata wanaishia. Jamani hawa Tanesco watuambie kama ni mgao waseme wananchi tujue kuliko hiv.
Ahsante kwa ushauri wakuu ngoja nifanye mchakato wa kutafuta betry origan nikishindwa au nikifanikiwa nitarudi tena kwenu wadau.viva forever jamiiforum...
Wakuu naomba msaada kwa hii simu yangu ni mwez wa tatu tu tangu nimeinunua lakin cha ajabu ninapoitumia mf nikiwa online upande wa juu wa screen inapata moto ajabu halafu nikiacha kuitumia haiwi ya moto pia nimeifungua juz nimekuta betry imetuna nifanyeje jaman msaada please.
Aisee hata mimi huwa napata shida sana wakati wa kufunga biashara yangu jion kwani kuondoka na pesa usalama ni mdogo ngoja nifanye mpango wa kununua safe.japo kwa sasa huwa naondoka nazo hivyo hivyo kiroho ngumu.
kwa kweli bei inasikitisha mkuu katika wilaya ya mbozi leo nimetembelea sokon nimekuta bei mpya ya mahind mapya kwa gunia ni sh 27000/= sasa kwa mtindo hii kilimo kinaweza mkomboa mtanzania kweli.wakati gharama za uzalishaji kuanzia mbolea,madawa na gharama za kulimia ziko juu mno!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.