Prof. Muhongo akifanya mazungumzo na Balozi wa China Mhe. Dr.Lu leo tarehe 05.09.2017 wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo anayemaliza muda wake wa kuhudumu nchini Tanzania. Lengo la mazungumzo hayo ni kumshukuru kwa misasda aliyoiyoa kwa wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na kumpongeza...
Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo akimkabidhi zawadi Balozi wa China Mhe. Dr. Lu Youqing wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo, anayemaliza muda wa utumishi Kama Balozi wa China nchini Tanzania. Aidha, Mhe. Muhongo alipata nafasi ya kufanya mazungumzo kwa Lengo la kusaidia...
Wasanii watoa album mpya ya makinikia
Cheche kiboko, yaani kila kashfa zote Kuu za Tanzania, ameshiriki, yupo, yupo na ataendelea kuwepo.
Kasha ya Rada alikuwepo, Yupo
Kashfa ya akaunti nje ya nchi alikuwepo, yupo
Kashfa ya CCM kupeana vyeo kwa kubebana alikuwepo, Yupo
Kashfa ya mafisadi...
Wasanii watoa album mpya ya makinikia
Cheche kiboko, yaani kila kashfa zote Kuu za Tanzania, ameshiriki, yupo, yupo na ataendelea kuwepo.
Kasha ya Rada alikuwepo, Yupo
Kashfa ya akaunti nje ya nchi alikuwepo, yupo
Kashfa ya CCM kupeana vyeo kwa kubebana alikuwepo, Yupo
Kashfa ya mafisadi...
HUJUMA NZITO KWA SERIKALI YA JPM KUTOKA GAZETI LA JAMHURI
Wa ndugu hivi karibuni tumejionea Gazeti la Jamhuri likiandika habari za kichochezi Kuhusu Wizara ya Nishati na Madini. Dalili hizo zilianza tarehe 23/5/2017 walipotoa taarifa kwenye Gazeti Lao kuwa "WAZIRI APIGA DILI" ukisoma humo ndani...
HUJUMA NZITO KWA SERIKALI YA JPM KUTOKA GAZETI LA JAMHURI
Wa ndugu hivi karibuni tumejionea Gazeti la Jamhuri likiandika habari za kichochezi Kuhusu Wizara ya Nishati na Madini. Dalili hizo zilianza tarehe 23/5/2017 walipotoa taarifa kwenye Gazeti Lao kuwa "WAZIRI APIGA DILI" ukisoma humo ndani...
Hao ndiyo waandishi wetu, mbona taarifa ilitolewa long time. Halaf hao TANESCO si wana miradi mingi ya umeme wanajenga , labda watuambie wataimaliza lini.
KUMBE MWANANCHI YUPO NYUMA YA MAFISADI SIJUI KAMA NCHI HII KUNA MTU ATAPONA, JPM ANA KAZI YA ZIADA, KUMBE HUMU NDANI WATU WANAANDIKA HADI KUTOKWA NA MAPOVU WAMELIPWA NA WENGINE WALIKOSA TENDA HAPO NISHATI NA MADINI
TUWACHAMBUE WASEMAJE WA LEO WANAOSHABIKIA EWURA KUPANDISHA BEI YA UMEME BILA...
Hata huyu the Uknown tunajua amevuta, ulitaka ushahidi gani? Kila Mtu anajua Muhongo hataki bei ya umeme ipande, Kama wewe umetumwa na hao walioandisha bei ili umtukane aliyekataa kupandisha Basi endelea na upumbavu wako, waandishi wengi walikuwa wanamuuliza muhongo kuwa mbona EWURA na TANESCO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.