Recent content by SURNAME

  1. S

    RASIMU ya Katiba Mpya Tanzania yazinduliwa

    Tunaongozwa na hisia na ushabiki wa kitoto
  2. S

    Dr. Slaa sikuelewi, Badilika! La sivyo wewe na CHADEMA...

    Kwa hiyo kama wao walifumaniwa ni sawa na yeye kuiga tabia zao kwa sababu wao walifumaniwa?Cha msingi ni kuangalia wapi tumeanguka au nini tufanye tujisafishe,ugumu wetu CDM ni kama siasa za mpira wa TZ hatutaki kusikia kukosolewa,anayetukosoa ni ADUI yetu mkubwa,CCM wamefika hapa walipo kwa...
  3. S

    Mnyika ashinda kesi dhidi yake; Hawa Nghumbi atakiwa kulipa gharama za kesi!

    Nimekuwa nikifatilia sehemu nyingi za ushindani,kila anayeshinda anasema haki imetendeka iwe kwenye Siasa au mpira.mkifungwa au kushindwa haki haijatendeka.Chadema walipoteza arusha haki haikutendeka,sumbawanga haki imetendeka,segerea haki haikutendeka,ubungo haki imetendeka.
  4. S

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    Sio zaidi ya nape tu ni zaidi ya mbowe pia maana mbowe aliiponda kauli yake,akasema sio msimamo wa chama
  5. S

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    Huko ni kumpoteza nassarii,kuomba msamaha sio utoto ni kuonesha uungwana wako,ukikosea usikimbilie kufafanua,kama kauli yake ilikuwa na maana sahihi why mbowe aliifuta palepale?tuache ushabiki wa kitoto tutaipoteza chadema,tunatakiwa kuwa wasikivu,hivi unajua kiasi gani watu wa...
  6. S

    Taarifa kwa Umma-Tamko la J.Nassari kuhusu Tamko la NMC

    Ni heri ungenyamaza kimya kuliko statement yako ambayo haijitoshelezi,haielezi maana ambayo imepotoshwa ni ipi na uzuri mwenyekiti wako alifuta kauli yako palepale kwahiyo yeye ndio alianza kupotosha ukweli?why aliikana kauli yako?
  7. S

    Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Naye ni Mkuu wa Wilaya

    Mkuu mbona haumalizii maamuzi ya kesi yalikuweje kwa sababu kuwa na kesi ni sehemu moja na hukumu ni sehemu nyingine, wapo wanaofungwa kwa kusingiziwa. Tuache majungu na ufinyu wa kufikiri
  8. S

    Nassari wa Arumeru Mashariki kushtakiwa kwa uhaini? Anatafutwa na Polisi

    kwanza nianze kwa kusema haya ni maoni yangu.Nassari ni mmoja wa makamanda vijana wanaochipukia,ukweli wewe ni mfano kwa vijana wengine.Nataka nikukumbushe na ujue CDM sio ya kaskazini,siyo ya wameru,siyo ya wachaga ni ya watz wote na ndio maana ipo kila kona,leo kusema arusha mtajitenga na wewe...
  9. S

    Hawa wanafaa uwaziri mkuu Pinda akianguka...

    Nani hasiye na Demu,demu anahusikaje hapa,SLAA mwenyewe ana demu
  10. S

    Tabia chafu ya TBC

    Kwahiyo ulitaka TBC wakununulie antena nzuri na bora,acheni kulalamika bila tafiti,bunge toka limeanza hakuna tatizo
  11. S

    Tabia chafu ya TBC

    Tatizo tunapenda sana kulalamika,kukatika mawasiliano kuna sababu nyingi zipo za kiufundi pia,ukweli leo sijaona tatizo la kukatika mawasiliano,zitto kaongea hadi kamaliza,acheni kulalamika bila uchunguzi
  12. S

    tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

    Huo sio wizi mkuu,hii huduma inaitwa Voice mail na inawekwa na mwenye simu akiwa hapatikani kama vile wakati amezima simu yake au ipo busy,ni sawa na kumpigia simu,hivyo unatakiwa kuacha ujumbe wa sauti na yeye akiwasha anakuta ujumbe wako.Tatizo letu humu JF wengi ni vilaza tumezoea kulalamika...
  13. S

    Tusaidiane figure hizi za kura Igunga jamani mi nimeshindwa!

    Tikatika bado mchanga sana kuchambua hoja,hapa swala lilikuwa figures kukosea majina sio issue,nimekubali kukosolewa kwa sababu kwako issue ni jina na sio figures.
  14. S

    Tusaidiane figure hizi za kura Igunga jamani mi nimeshindwa!

    :CCM:26,484,Chadema:23,260,CUF:2,104,SUA 83,DP:76,AFP 235,Chausta 182,UPDP 63,zilizoharibika 1,185.Jumlisha tupe jibu 26,484+23,260+2,104+83+76+235+182+63+1185=?????? Acheni uvivu wa kufikiri,au ndio ugumu wa hesabu?
  15. S

    Tusaidiane figure hizi za kura Igunga jamani mi nimeshindwa!

    :CCM:26,484,Chadema:23,260,CUF:2,104,SUA 83,DP:76,AFP 235,Chausta 182,UPDP 63,zilizoharibika 1,185.Jumlisha tupe jibu 26,484+23,260+2,104+83+76+235+182+63+1185=?????? Acheni uvivu wa kufikiri,au ndio ugumu wa hesabu?
Back
Top Bottom