kiroba
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 324
- 114
Our beloved na mpambanaji wa kweli na mzalendo wa kweki mwenye uchungu na nchi yake. Si mwingine nawaletea kwenu Mh Deo Filikunjombe.Sita ni fisadi wa kichinichini ambao ni ufisadi mbaya kuliko ufisadi wa kiwazi wazi. He is too emotional anaweza kuwa ni mtu wa visasi. Pia Sita ni mropokaji mzuri!. Magufuli ni mbinafsi sana, ameweka mbele sana u-mimi na ni mtu wa masifa, full kujikomba kwa JK ila ana risk ya kuwa dictator!. Waziri mkuu bora ni mmoja tuu!. The One and Only..,!, malizia mwenyewe!.