THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Yeah! Well...this is very well said brother. Tunajua Watanzania wote wa Leguruki, King'ori, Seela-Sing'isi, Kisimiri Juu na Chini, Nkoarua, Nkoaranga, Usa River, Poli, Akheri, Nkoarisambu, Kikatiti, Ngarenanyuki, Maji ya Chai, Mbuguni, Makiba, Kikwe, Songoro watakuwa bega kwa bega kuunga mkono tamko hili ambalo linadhihirisha wazi msimamo wa CHADEMA katika kuendelea kuunganisha nguvu za Watanzania wote kupigania haki na kuendesha siasa za vuguvugu la kudai uhuru na mabadiliko ya kweli, kimfumo na kiutawala.
Huo ndiyo msimamo wa CHADEMA ambao unazidi kuwanyong'onyesha CCM na kuwamaliza kabisa. Falsafa ya nguvu ya umma iko matendoni kama ulivyokuwa ujamaa wa... Kila mtu atashirikishwa. Kila mtu atachangia. Kwa hali na mali. Kila Mtanzania atakuwa sehemu ya mapambano haya na vuguvugu la mabadiliko.
Kila Mtanzania, kutoka kila kona na pembe ya nchi, ambaye anakerwa kwa dhati na dhuluma, unyanyasaji unaofanywa na watawala dhidi ya wanyonge katika nchi hii, ataunganishwa katika mwamvuli mkubwa wa M4C, kuipigania Tanzania na kuwapigania Watanzania, bila kujali chochote, we have common problem...common enemy.
Well said mkuu. Watanzania wanaounga mkono M4C wameelewa. Tunazidi kusonga mbele. Tumeshafika pale ambapo shoka linaelekea kuvunjika unabaki mpini...approaching the critical stage of the struggle.
pozu la pumba lakutoka kinywani na puan
unashindwa kutambua sana nguvu ya umma ni propaganda,na pale wataposhika hatamu uuma na viongoz vinakua vitu viwil tofaut
umma unabaki na matakwa yao bado watayotaka yatekelezwe na viongoz watakua na changamoto ya sera zao wanazopigania kutekeleza kwa protocal maalum,bila kusahau interest za mabwana zao world bank ni imf,bila kusahau eurpean community na superpower america
acha ukenge kufuata msafara wa mamba..!
Wanasiasa wanakugeuza kadir wapendavyo na ww unageuka kufuata upepo wao..!
Amka mdanganyika dai katiba yako huru sasa..!