...hakika mkuu kumtangazia kiongozi mkuu wa nchi uzushi wa namna hii nisawa na uhaini...sheria ichukue mkondo wake ili iwe fundisho kwa wapumbavu wengine
..wee usiombee jambo hilo sisi wanyonge tutapata tabu sana miaka 60 yote hakuwai kutokea mtu wakutusemea kututetea na kutujali nchi ilikua mikononi mwa majizi ya kila namna..eee mola wangu ibaliki nchi yetu rais wetu na wananchi wote.Amina
..kama alikua mpumbavu aliteuliwa na nani?...si tulitangaziwa wateule wote walipita kwenye mchujo kwa miezi mitatu!! ivi jamani mtoto akiwa mpumbavu baba yake huwa anakua nani
...wananchi wengi hawajielewi njaa uoga na unafiki + umasikini ndio unaowapumbaza ndio maana wanaitwa wapumbavu wanapiga vigelegele kutukuza upumbavu wao....hakika ni wapumbavu kweli!!
hahahaaaa nikajua wanasema na msosi utakuepo kama no hivyo siendi haiwezekani tukichagua mnasema tunachagua hovyo hovyo sasa uwanja wenu jichague kwa roho safi
Nitakasirika sana ikiwezekana nitaenda kuwashitaki maana wanakale ka rugha kao eti baada ya miezi 3, uje upime tena. Sasa icho kitu ndio sikitaki kabisa kukisikia. Wife wangu akiwa mjamzito uwa ananiambia kakutwa yuko safi kwaiyo namie najua Niko safi. Nitaenda kipima kwa hiari yangu siku dawa...
hahahaaaa ilo tatizo linawakumba wengi mi niliwai kupima 2014 nikakimbia majibu sasa nasubili mpaka dawa ipatikane ndo nikapime. Kwanza sina history ya kuugua hovyo hovyo kwaiyo Niko safi
Mimi nilikwisha vunja uchumba Mara 2 kwa issue za kulazimishwa nikapime. ivi napima ili iweje kwamba nikikutwa nimenasa napewa dawa napona au ndo kupeana mavidonge ya homa ya ini alafu tunadangwa eti zinarefusha maisha kwa wagonjwa was ukimwi. Mara nyingi ma Dr wanachanganya majibu anakupa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.