Ndio tumefika, mahali hapa!

Ila wao wakija, utasikia waliojiandikisha ni 95%.

Me nawasubiria kwa hamu sana, unfortunately idadi ya waliojiandikisha....ipo wazi.

Waache wajichanganye....
Nilikuwa nasikiliza radio fulani asubui hii mpk sasa dar ni 8% tu waliojiandikisha
 
Nakwambia hivi, hivi sasa wamebaki wagonjwa wa akili tu, ndio wanaoendelea kusema oyeeh!!!

Tena i wish Tanzania tungekuwa na program ya kila mwaka, kupima magonjwa ya akili kwa kila raia (as ilivyo uingereza).... Nakwambia huyu mtu, angekosa hizo "oyeeeh" za hawa wenye utindio!

Ila hakijaaribika kitu. Tukae tu stand by, soon kila kitu kinaenda kuweka nukta!
angalau ameeleweka sasa kwa wananchi kwa kiwango fulani ombi langu kwa mungu aongeze kukaza nati ili vyuma vibane zaidi ya hapa
 
Tusije tukafikia kuwekwa ndani ya Nondo kisa kugoma kujiandikisha

Kwenye hili umma unapaswa kusimamia ukweli, tukichagua kuwaogopa, wanasiasa wataendelea kutuburuza maisha yetu yote. Msimamo ni kuwa hatupigi kura na sababu za msingi tunazo na mifano halisi tunayo. Tutakuwa taifa la ajabu iwapo tutendelewa kutiwa vidole vya macho na bado tuwaogope wahuni eti kisa wana madaraka.

Hapo walipo hii hali ya kususia kupiga kura imewatisha, ni juu yetu kutumia njia hii ya amani kuleta mabadiliko tunayoyataka bila kutegemea mwanasiasa yoyote, kwani wao inaonekana wameshindwa. Hatuna tume huru ya uchaguzi, hatuna katiba mpya na hela zimeshaliwa kwenye mchakato, kisha mwanasiasa mmoja anasema hataki katiba mpya na bado tunaendelea kushiriki chaguz za dhuluma, kama sio wendawazimu huo ni nini?
 
Kwenye hili umma unapaswa kusimamia ukweli, tukichagua kuwaogopa, wanasiasa wataendelea kutuburuza maisha yetu yote. Msimamo ni kuwa hatupigi kura na sababu za msingi tunazo na mifano halisi tunayo. Tutakuwa taifa la ajabu iwapo tutendelewa kutiwa vidole vya macho na bado tuwaogope wahuni eti kisa wana madaraka.

Hapo walipo hii hali ya kususia kupiga kura imewatisha, ni juu yetu kutumia njia hii ya amani kuleta mabadiliko tunayoyataka bila kutegemea mwanasiasa yoyote, kwani wao inaonekana wameshindwa. Hatuna tume huru ya uchaguzi, hatuna katiba mpya na hela zimeshaliwa kwenye mchakato, kisha mwanasiasa mmoja anasema hataki katiba mpya na bado tunaendelea kushiriki chaguz za dhuluma, kama sio wendawazimu huo ni nini?
Well said...
 
Vitisho ndo vinaendelea kuingia taratiibu, mara utasikia mwalimu ni lazima unipigie kura kwa sababu nakuripa mshahara, ngoja tuendelee kutega sikio.
 
Back
Top Bottom