suramlamu
Member
- Sep 9, 2019
- 20
- 18
Mimi ata wakija na polisi na pingu sijiandikishi kamweKazi kweli kweli.
Jana zimeongezwa siku tatu, kesho tutasikia madaftari yanapita mlango kwa mlango......!!!
Shida yote ya nini, si afuate tu misingi ya demokrasia ya kweli!