Recent content by Superintendent kimura

  1. Superintendent kimura

    Bilioni 1.5 kwa kwa uzuri gani tamu uliyonayo? Hovyo kabisa Wewe Dada

    Huyo mbona ni chama la wana na tunakunywa naye bia hapa Gongolamboto LEO TENA PUB pamoja na TNT
  2. Superintendent kimura

    Open space zinaondoka tu

    Hata mwanza eneo la uwanja nyegezi kona hapo jeshini naona uwanja umegeuka kuwa parking ya malori badala ya uwanja wa michezo afu juzi nimeona wameanza kujenga bila shaka zile ni uchumi wa
  3. Superintendent kimura

    Hilda Newton: Hili liwe funzo kwa Mafwele na genge lake. Christopher Bagenyi kunyongwa hadi kufa

    "There is only one sentence for murder which is death by hanging"
  4. Superintendent kimura

    Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Muda si mrefu ATCL inaenda oman
  5. Superintendent kimura

    Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Unakula ugali furu, chai na kashata, chai bagia mbili alafu uvute bangi lazima usichanganyikiwe
  6. Superintendent kimura

    KERO Sekretarieti ya Ajira, kuna maswali wakati wa Usaili hayana mantiki kabisa

    Nilishawahi kupiga hiyo written interview pale KPMG mwaka 2014 maswali yalikuwa 250 ndani ya lisaa limoja kiukweli lile pepa nilitokota vibaya
  7. Superintendent kimura

    ARTETA IS THE ROTTEN WALKING BOY; Hovyo kabisa huyu afukuzwe tu. Miaka 8 no trophy. Kweli EFL tumekosa tena dhidi ya City?

    Unahisi man city wao hawakidhi vigezo vya kuchukua konbe mpaka achukue arsenal? Asiyekubali ku
  8. Superintendent kimura

    Utani lakini kuna kaukweli: Usipomkula vizuri, lazima akuue

    Unatakiwa upige mzigo mpaka halufu ya chumba ibadilike kinukie kama tairi limeungua
  9. Superintendent kimura

    KERO Kuchangisha pesa Wafanyabiashara kila kunapokuwa na ugeni wa kitaifa (siasa) katika Mkoa

    Mwenge wa uhuru ndio balaa kabsa Nilishawahi kuletewa barua ya kuchangia mwenge Tsh 200,000 kutoka kwa mtendaji wa kata fulani hivi jijini mwanza kwenye biashara yangu. Kiufupi ile hela sikutoa hata mia baada ya hapo sasa niliandamwa balaaa sana yule mtendaji mpaka nikamusha kijiwe changu
  10. Superintendent kimura

    Mfalme wa Sweden amuaga Balozi Matinyi

    Sasa hivi akirudi bongo atakuwa na cheo gani kipya alichopewa
Back
Top Bottom