Recent content by Superintendent kimura

  1. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kurudi kijijini kabisaaa, karibu na makaburi ya ukoo

    Nikiona tu mtumishi ana mkopo Bayport, Platinum na maboto najua tu huyo mtumishi na rafa la kutupwa
  2. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania TANZIA Gwandumi Mwakatobe afariki dunia

    Rip classmate
  3. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko ya Tabia Mitandaoni: Je, Kuonyesha Maumbo Kumekuwa Sehemu ya Utamaduni Mpya Afrika?

    Yaani ukiona tu anachezesha makario bila wasiwasi huyo ni chama la wana yaani anauza maku
  4. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Halitakuwa jambo la kushangaza Mrisho Gambo akihamia CHADEMA

    GAMBO ni hazina ya taifa tumtunze kwa wivu mkubwa sana asipotee
  5. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majibu mazito ya CHADEMA kwa Msajili, yagomea tishio la kufutwa au kutozwa faini

    Sijui hapa tanzania bila CHADEMA maisha ya sasa yangekuwaje
  6. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal bingwa
  7. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya siku ya ziwa victoria ni aibu kwa CCM na viongozi wake kwa ujumla

    Niko hapa baa ya city center nachek game ya arsenal njoo tunywe konyagi
  8. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania DOKEZO UDSM kunanuka rushwa kwenye Ajira

    Ishu sio ajira hapa tatizo wewe na jamaa ako Mbaga Jr mumegeuza mada yangu kuwa uwanja wa mitongozo kiukweli sijapenda
  9. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania DOKEZO UDSM kunanuka rushwa kwenye Ajira

    Sijapenda kabsa mada yangu kuigeuza kuwa kijiwe cha mitongozo
  10. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu nimejiuliza: Hivi Shetani kuna kitabu chochote ambacho amejitetea?

    Inawezekana akawa hayupo ndio maana huoni kitabu chake
  11. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Hapa nifanyaje wakuu

    Hakuna safari hapo nikuibie siri UMETAPELIWA aisee
  12. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Mechi kali ligi kuu India kati ya wahindu na waislamu siyo ya kukosa

    Mechi imekuwa suspended aisee kobaz kashakula 3 mtungi
  13. Superintendent kimura

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pesa yako anakula nani?

    Upande wa baba hawapati?
  14. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania DOKEZO UDSM kunanuka rushwa kwenye Ajira

    wasaalam tarehe 02/05/2026 pale UDSM yombo 4 kulikuwa na zoezi la kufanya written interview kwenye kada mbalimbali lakini cha ajabu mpaka leo tarehe 06/05/2026 hawajatoa majibu ya usaili huo kama wanafovofanya taasisi zingine ambapo majibu hutoka na kutaganzwa kupitia tovoyi rasimi ya...
Back
Top Bottom