Recent content by Superintendent kimura

  1. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Show-off za mjini zitawavua nguo

    Kuwa na nyumba yako ni mhimu sana ukiwa na miaka 40 na kuendelea lolote laweza kutokea kipato kikapolomoka na kushindwa kulipa bills
  2. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Huwa nashangaa Sana Mtu Umeolewa na huna Kazi ya Kukuingizia Kipato, Unaazima Laki 1 na Unasema Hutaki Mmeo ajue utailipaje sasa?

    Zingatia sana 5Cs of Credit Character (Tabia/Uaminifu) Historia ya mkopaji katika kulipa madeni. Uaminifu, nidhamu ya kifedha, na sifa zake. Capacity (Uwezo wa Kulipa) Uwezo wa mkopaji kurejesha mkopo kutokana na mapato au mtiririko wa fedha (cash flow). Benki huangalia mapato dhidi ya...
  3. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Nakupa code; kwenye biashara yoyote ya delivery ukisikia sauti ya mzanzibari kimbia haraka

    Tv inch 75 Tcl wanauza 250k pamoja na delivery sasa unatakiwa utume 100k alafu nyingine utamalizia ukipokea mzigo sasa hapo jichanganye upingwe za utosi
  4. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Kusingekuwa na bangi na sigara dunia ingekuwaje?

    Aliyetengeneza konyagi mojakwa moja peponi
  5. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Hiki ndicho kilikuwa kikosi cha Ureno cha vidume, acha hawa wapiga picha za insta. Hawa ndio waliji submit kwa Ronaldo na kucheza kama timu

    Wamebaki kumulilia diogo chota kila siku unaweza fikiri alikuwa masia
  6. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania TFF mpaka Sasa hawajatoa Tamko dhidi ya Bakhressa!

    Hata kama wewe ungekuwa pale TFF isingejibu zile tuhuma nakuambia
  7. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Nitaendendealea kutoa mfulizo wa Changamoto za kampuni ya BRAC kwa vijana Waajiriwa wa hiyo kampuni

    Kwa nn mteja ashindwe kulipa mkopo wakati unampa mkopo ulizingatie zile 5C's of credit au ulitoa hela kwa sababu ulipata posho kutoka kwa mteja ukagawa hela za watu kama njugu?
  8. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Wapishi 3 wanahitajika kwa ajili ya hoteli

    250,000-300,000 huo sio mshahara mtoa mada hiyo ni ganji au posho ya siku moja au mbili tu
  9. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Huyu sio mwanao usimfokee, kama umechoka sepa! – Maneno ya singo mama

    Mimi nikishajua wewe ni singo maza kazi inayobaki ni kuliwa na kuachwa
  10. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Mama Mkwe kuingilia malezi ya watoto wangu?

    Hama hapo ukweni mara moja
  11. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Sekretarieti ya CHAUMMA yamkataa Salum Mwalim

    ALiyekupa hizo taarifa atakuwa tu jasusi yerriko nyerere
  12. Superintendent kimura

    JamiiForums Tanzania Tangu tumepata uhuru Patrobas Katambi ndio waziri wa hovyo kupata kutokea

    Joseph mungai ndio kiboko ya wote bara na visiwani
Back
Top Bottom