Hata mwanza eneo la uwanja nyegezi kona hapo jeshini naona uwanja umegeuka kuwa parking ya malori badala ya uwanja wa michezo afu juzi nimeona wameanza kujenga bila shaka zile ni uchumi wa
Mwenge wa uhuru ndio balaa kabsa
Nilishawahi kuletewa barua ya kuchangia mwenge Tsh 200,000 kutoka kwa mtendaji wa kata fulani hivi jijini mwanza kwenye biashara yangu. Kiufupi ile hela sikutoa hata mia baada ya hapo sasa niliandamwa balaaa sana yule mtendaji mpaka nikamusha kijiwe changu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.