Recent content by supercharger GT

  1. supercharger GT

    Watu wafupi na inferior complex

    Sisi wafupi hatukujiumba wenyewe, tumejikuta tushakuwa hivyo! Hata kwenye kujiamini ni hivyo hivyo, tunahisi kudhaurika muda wote[emoji3][emoji3][emoji3]tuwache tu, kuna mabinti wanatuoneaga huruma wanatupenda hivyo hivyo. Bahati nyingine ni kwamba Mwenyezi Mungu amejalia watu wafupi wengi...
  2. supercharger GT

    Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Simlaumu huyo mwanamke....msela wetu wewe unaonekana hata approach yako kwa huyo demu ilikuwa hivyo hivyo
  3. supercharger GT

    Tabia za mke wangu zimenichosha, nafikiria kumuacha

    Pole sana. Kakupita kipato itakuwa...! Nadhani pambana sana kuzibua sikio lake la chini, atakuelewa! Tofauti na hapo changamoto
  4. supercharger GT

    Je, dunia inahitaji dini mpya?

    Inafikirisha sana hii. Wengine hapa tunaamini kuwa kuna Super natural being ambaye ametuumba na kututaka tuishi kwa matendo mema tu (Good deeds) but hakuleta dini kama hizi!! Wala hana haja na mambo hayo. Anyways, kila mtu na lake
  5. supercharger GT

    Kazini imekuwa ngumu kwangu msaada

    Zingatia sana negotiation skills zako ziko kulia au kushoto bandugu....kama ziko kulia basi andika barua ya kuomba nyongeza! Ukiona barua haijajibiwa kama ulivyotaka basi wewe sio muhimu sana kama huyo aloletwa.....ni ushauri mchungu but ndo yaliyopo kazini!
  6. supercharger GT

    Gari aina ya Crown Majesta inahitajika

    Greetings wakuu. Inatafutwa Crown Majesta yenye hali nzuri, isiwe na kipengele chochote kwenye engine(hapa naomba nitilie mkazo wakuu, engine isiwe kimeo kwa namna yoyote ile). Ikipatikana Majesta kuanzia 2004 na kuendelea itapendeza zaidi. Kama uko nayo au unamjua mtu anauza kindly Email...
  7. supercharger GT

    Changamoto ya ulevi: Jinsi inavyoumiza familia na jamii

    Hiyo 'Paragraph' ya mwisho hapo ulipoandika tu neno 'mpendwa' nikajua chuki yako kwa walevi iko namna gani! Shikilia tu unachoamini, haya maisha mengine waachie wengine. Figo ni zao, utimamu wa hovyo ni wao, pia pesa ni zao!
  8. supercharger GT

    Ingekuwa mafanikio ni rahisi, kila mtu angekuwa bilionea!

    [emoji28][emoji28] mimi pia boss wangu kalala muda huu na hataki tumpigie simu
  9. supercharger GT

    Nimeachwa, lakini naona kama nimepunguziwa mzigo

    Pole kwa kuachwa mkuu, but inaonekana wewe mwamba una matukio heavy heavy man[emoji3][emoji3][emoji3]...kaa ukijua huyo dada atarudi na utampokea tu!
  10. supercharger GT

    Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

    Ishu kama hii nimewahi ishuhudia pia sehemu, kuna siku nilikuwa nimekaa na jamaa yangu mmoja alikuwa na kibanda cha MPESA, ghafla akaja mzee mmoja na Hilux Double cabin la zamani akali-park kando ya barabara then akaja kutoa pesa hapo kwenye kibanda, kumbe jamaa wa wrong parking mbio mbio...
  11. supercharger GT

    Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

    Kuna keki ya upako hapo hotelini?
  12. supercharger GT

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  13. supercharger GT

    Huyu mwanamke ni sahihi kuniambia maneno haya?

    Tayari unasaidiwa kaka yangu...pole sana
Back
Top Bottom