😂😂😂 Hii imenikumbusha binti fulani wa Chuo cha Mipango Dodoma! Nilikuwa namuona malaika! Ila alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kupanga ratiba za sisi tunaomla, tulikuwa kama njemba 5 hivi, na wote tulikuwa tunaridhika bila shida! Aiseeee..!!! Ukimuhitaji anytime anakuja....hahaha! Mpaka leo...
Binti alimpanga mama yake waniombe pesa ya matibabu ya baba yao(kwamba mzee kalazwa etc), mama yake akanipigia kunieleza hilo suala, Kijana nikajitutumua nikatuma fasta....but kuonesha najali nikaanza ku-force kutaka kwenda kumuona huyo mzee na mimi, kona kona zikaanza...nikalazimisha kwenda...
😀😀😀😀Dah, mwamba umenichekesha sana! Wewe unatongoza mademu wa aina gani kwani?
Nimeona sehemu hapo juu umesema gari unayo, nyumba etc, na ukamalizia kuwa ni vitu vya kawaida kwenu watu wa Marketing! Sasa mbona mademu wanakukimbia man? Jiangalie wewe kama wewe, shida haipo kwenye kazi yako braza...
Habari wakuu?
Mwaka mpya umeanza kwa kasi, inabidi tuanze punguziana machungu sasa. Mimi niko Dodoma, kuna namna nimekuwa nahangaika na masomo ACCA kwa muda mrefu bila mafanikio.
Naomba kwenye uzi huu kama watapatikana wenzangu ambao nao wapo huku Dodoma na wana changamoto kama yangu...
Wakuu mko njema?
Kwanza tupeane Pole kama Taifa na Janga la Kariakoo! Tumuombe Mungu asimamie afya za majeruhi na kuwarehemu waliofariki🙏
Tukirudi kwenye mada. Nimekuwa interested sana na AUDI A5 SportBack Quattro TFSI. Hivi nikivuta hii nitakuwa sijajichanganya kweli?(au nijirudishe tu kwenye...
Sisi wafupi hatukujiumba wenyewe, tumejikuta tushakuwa hivyo! Hata kwenye kujiamini ni hivyo hivyo, tunahisi kudhaurika muda wote[emoji3][emoji3][emoji3]tuwache tu, kuna mabinti wanatuoneaga huruma wanatupenda hivyo hivyo. Bahati nyingine ni kwamba Mwenyezi Mungu amejalia watu wafupi wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.