Sisi wafupi hatukujiumba wenyewe, tumejikuta tushakuwa hivyo! Hata kwenye kujiamini ni hivyo hivyo, tunahisi kudhaurika muda wote[emoji3][emoji3][emoji3]tuwache tu, kuna mabinti wanatuoneaga huruma wanatupenda hivyo hivyo. Bahati nyingine ni kwamba Mwenyezi Mungu amejalia watu wafupi wengi...
Inafikirisha sana hii. Wengine hapa tunaamini kuwa kuna Super natural being ambaye ametuumba na kututaka tuishi kwa matendo mema tu (Good deeds) but hakuleta dini kama hizi!! Wala hana haja na mambo hayo.
Anyways, kila mtu na lake
Zingatia sana negotiation skills zako ziko kulia au kushoto bandugu....kama ziko kulia basi andika barua ya kuomba nyongeza! Ukiona barua haijajibiwa kama ulivyotaka basi wewe sio muhimu sana kama huyo aloletwa.....ni ushauri mchungu but ndo yaliyopo kazini!
Greetings wakuu.
Inatafutwa Crown Majesta yenye hali nzuri, isiwe na kipengele chochote kwenye engine(hapa naomba nitilie mkazo wakuu, engine isiwe kimeo kwa namna yoyote ile). Ikipatikana Majesta kuanzia 2004 na kuendelea itapendeza zaidi.
Kama uko nayo au unamjua mtu anauza kindly Email...
Hiyo 'Paragraph' ya mwisho hapo ulipoandika tu neno 'mpendwa' nikajua chuki yako kwa walevi iko namna gani! Shikilia tu unachoamini, haya maisha mengine waachie wengine. Figo ni zao, utimamu wa hovyo ni wao, pia pesa ni zao!
Ishu kama hii nimewahi ishuhudia pia sehemu, kuna siku nilikuwa nimekaa na jamaa yangu mmoja alikuwa na kibanda cha MPESA, ghafla akaja mzee mmoja na Hilux Double cabin la zamani akali-park kando ya barabara then akaja kutoa pesa hapo kwenye kibanda, kumbe jamaa wa wrong parking mbio mbio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.