Recent content by supatolu

  1. supatolu

    JamiiForums Tanzania Ommy Dimpoz nae ni wa kudharau Watanzania? Kwani ana utajiri Gani?

    Rangi nyingine ni za kuzipuuzia tu.
  2. supatolu

    JamiiForums Tanzania Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Ndio tabia ya mvinyo za ofa. By the way ukiamka na wenge kihivyo anza na pepsi baridi mwaego.
  3. supatolu

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    Somo zuri linagusa hisia hasa muda kama huu wa kuanza kulala.
  4. supatolu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Siku napigwa risasi Paul Makonda alikuwa Dodoma

    Haya wadau wameshakugusa. Nuka basi tuinjoi.
  5. supatolu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kuwa na ujasiri huu?

    Itakuwa na kuingiza aliingiza tu huyu. Maana eti baadae alimwambia dada wa watu 'ajikague'.🤔 Kulikuwa na usalama hapo kweli jamani?
  6. supatolu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kuwa na ujasiri huu?

    Ukaiambia ijikague. 😂🙃🤣
  7. supatolu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushawahi kuwa na ujasiri huu?

    Mpaka uchaguzi upite tutasikia mengi..
  8. supatolu

    JamiiForums Tanzania Aren't: Nchimbi be careful

    Mbona tunatishana jamani usiku huu.
  9. supatolu

    JamiiForums Tanzania Toa Maoni yako kuhusu Neno "Mama hana Deni"

    Mbona kawaida. Itakuwa Alichelewa tu kukizungushia uzi. Uzinduzi ukawa umefika. Ila ana maamuzi magumu huyu bwana!!... Daah.
  10. supatolu

    JamiiForums Tanzania Polepole: Rostam Aziz ndiye anayeendesha biashara ya uchimbaji na usafirishaji wa makaa ya mawe

    Bla bla tu hzo. Kikubwa ni kutiki tu oktoba.
  11. supatolu

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuzuia usiote ndoto za kishetani

    We dada si uliagaga humu. ? Au sio wewe.? Usiku wote huu tuanze kuwaza ndoto tutakazoota jamani?. Khaah!..
Back
Top Bottom