Recent content by supatolu

  1. supatolu

    JamiiForums Tanzania Ni nani atakayerithi nafasi ya Mwalimu Christopher Mwakasege?

    Wakina Kapola, Mwamposa, Lusekelo wote naona wamekaa kimchongo,,😂😂😂
  2. supatolu

    JamiiForums Tanzania Upo hapa kwa muda mfupi sana

    Hili somo murua sana. Nakumbuka wimbo wa kikosi cha mizinga unaitwa 'saa za kazi'. Kuna punch moja inasema "chochote unachofanya kifanye tena kwa uhakika". ni verse ya Hashim D kama sikosei...
  3. supatolu

    JamiiForums Tanzania Upo hapa kwa muda mfupi sana

    Sure.
  4. supatolu

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Waandaaji walibugi tu kidogo. FA angepiga simu kwa MAMA akaongea mwenyewe live sidhani kama kuna mtanganyika angezomea..
  5. supatolu

    JamiiForums Tanzania Hivi wasanii wa zamani wanawake hawapo?

    Na Zay B.
  6. supatolu

    JamiiForums Tanzania Sugu: Madee alinitumia shilingi milioni mbili

    Sugu..
  7. supatolu

    JamiiForums Tanzania Ni lazima kuna muunganiko kati ya maofisa wa kampuni na matapeli!...

    Wengine tumeshazoea hizo msg. Hasa wa huku Iwulagamasaji. Sijui wannatuona sisi ndio mandina? Ni akili kumkichwa tuuu.
  8. supatolu

    JamiiForums Tanzania Kwa nini ni wazi huyu kijana wa Bavicha pwani Katumwa chukua hizi hints za kijasusi

    Sijui wanakuwaga wamefanywa nini?
  9. supatolu

    JamiiForums Tanzania Heche, Mpina na wengine wanatumika kuichafua Serikali ionekane haifanyi kazi?

    Kwahyo Mh. Heche anahusishwa na mlango wa bahari wa Hormuz.. Duh ama kweli..
  10. supatolu

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Kafanana na yule mama mchungaji. Au ni yeye?
  11. supatolu

    JamiiForums Tanzania Hananja: Changamoto za Jamii zitatuliwa kwa mazungumzo na maridhiano badala ya migogoro

    Alisema anawalea na anakaaga na wala ngada. Pia aliwahi kupigana ngumi. Ni mtu mzuri wa kumzingatia sana.
Back
Top Bottom