Recent content by Sunuka

  1. Sunuka

    Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York

    Umesahau juzi tu hapa mlikua mnalalamikia Tundaman kuingia na msalaba uwanjani mbona yesu yupo nyie mlalamika acheni watu wacheezee misalaba mwenye misalaba yake aje aitete hayo ni maagizo ya Mungu mwenyewe ukikufuru wakuue hakuna mjadala
  2. Sunuka

    Shamte: Katiba ya nchi haijasema 'Head of State' atawale miaka 10, miaka mitano ikiisha tutafute Rais mwingine lakini siyo huyu

    Kwanini wamempiga kumvua uanachama ingetosha chama cha kijani hakipendi hoja mbadala
  3. Sunuka

    Mfahamu "Mkandala Rufufu" mzee wa kukotola

    Dj Mark ndio mkali wao kwangu
  4. Sunuka

    Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

    Vumbi la kongo halina msaada wowote uchi unasimama vizuri lakini kichwa cha dhakari kinakua na ganzi ndio sababu yakutokumwaga mapema hapo anaefaid ni mwanamke ndio anasikia utamu halisi
  5. Sunuka

    Biashara ya madada wa kazi Uarabuni bado iko juu

    Akiuzwa pesa anachukua nani. Yeye alieuzwa au wakala wake?
  6. Sunuka

    Ndoto: Sehemu muhimu kwa afya ya hifadhi ya akili

    Mimi siotagi ndoto ndefu naota ndoto fupi sana na nikiota nikiamka nasahau. Na ninaweza kukaa hata miezi miwili sijaota ndoto
  7. Sunuka

    Hizi ndio series zangu kali

    Mi nataka muandikapo hizo season muwe mnatofautisha ni za vijijin au za mjini. Mi za mjini napenda sana kuliko za vijijini
  8. Sunuka

    Kwa nini nyoka hujivua gamba lake?

    Nasikia na kinyonga nae huwa anajivua gamba halafu analila yeye mwenyewe? Kuna ukweli kuhusu hilo?
  9. Sunuka

    Mjue mnyama Kobe

    Kobe mnyama au mdudu?
  10. Sunuka

    Serikali: Kampeni ya kupambana na Ushoga ya RC Makonda sio msimamo wa nchi

    Sasa kama ni hayo amber rutty wanamsumbua nini kumbe washasain mikatabta ya kimataifa mwenye kupenda mambo hayo afanye tu. Ujinga kabisa
Back
Top Bottom