Hapo sasa![emoji16] Manake kwa hili ingebidi orodha ya wanaoitwa na bunge iwe ndefu sana, nafikiri hata nafasi ya kufanya kazi nyingine ingekosekana![emoji2] Bila ya yeye kuwa CAG katu asingeitwa. Nashidwa kuelewa hawa wanaodai kaitwa kama yeye. Unaachanisha vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi ndilo la kwanza ningehisi. Pengine katika jamii kuna takwimu zinaonesha watu wa dini fulani hawaugui ugonjwa fulani sababu desturi zao haziruhusu kula kitu fulani. Kwa kutumia takwimu inaweza kuwa njia mojawapo kuthibitisha aina fulani ya ugonjwa inatokana na desturi fulani. Ama ili...
Uzembe ni wa dereva na kondakta wake kutokagua gari kabla ya safari. Sidhani kama mmiliki kashindwa kununua wipers lakini kaweza kununua mabasi. Hawa wapo vizuri tu na gereji iliyokamilika pale Moshi mjini. Na bado hata kumlaumu dereva na mmiliki inaweza ikawa si haki, kama una mazoea na vyombo...
Point. Ni ukweli kabisa, sheria haimaanishi haki. Nimekuelewa vizuri kabisa. Wakumbuke ndugu zetu wa Afrika Kusini, sheria zilitungwa za kumkandamiza mtu mweusi. [emoji109]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.