Madhara yake kuwa na hasira Mara kwa mara ,hisia zitakuwa zinakuja Mara kwa Mara hata ukijizuia ukiona mwanamke unamtamani,uume utasimama Mara kwa Mara hata kwa daladala tuu soo ni kero kwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujielewi ww jaribu kuwa na hekima mana haiuzwi dukani acha kudhalilisha watu na heshima zetu mi siwez sapoti mana sijawah muona akigongwa we uliye muona ndo maana unathibitisha
Iv wanashindwa kutumia hata mbinu ya kuwavika magwanda ya police wanajeshi au wanajesh wakawavisha kiraia tuu wakaingia kufanya msako wa kiusalama taratibu wakajua chanzo chao hao watu wakawanyoosha kivita mana hiyo ishakuwa vita sio mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.