Natamani kupenda tena

Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Una umri gani?
 
Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Basi mungu na atuunganishe sasa tuwe mwili mmoja alichokiunganisha mungu mwanadamu na asikitenganishe
 
Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Unapenda mwanaume wa namba gan?


Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Kanuni moja bora ya kupenda usiweke vigezo viiingi maana tatizo tulilonalo sisi viumbe wa Mungu tunataka mtu mwenye vigezo ambavyo wewe tu mwombaji huna sifa hizo. Mfano jamani mi namtaka mpenzi mwenye macho kama ya malaika,mpole,sjui mstaarabu na mambo chungu nzima wakati wewe huna hata chembe ya utulivu full mchepuko...
We kama kweli unahitaji kweli wa type yako siku ikifika utampata tu.... hivyo kuwa mpole sister!
 
Moyo wangu uko tayari kupenda tena ila kinachonipa mawazo ni wapi nitampata mwanaume nitakaempenda kwa dhati, nina tatizo na kuwaamini wanaume wa Dar ila pia sitaki mapenzi ya mbali sababu yalinipotezea mwanaume niliyempenda kuliko mwanaume mwingine chini ya jua.

Na shida yangu sasa huwa nampenda mtu siku ya kwanza nimemuona ila katika pitapita zangu sijaona mtu wa kumpenda mpaka leo yani wanaonifuata hamna hata mmoja anaenivutia.
Muombe Mungu tu utampata umpendae
 
Nakupongez sana kw kuonesh ujasali mkubwa, wanawak wengi wamekuw wakishindw kutoa ya moyo, the fact that love is voluntary matter, you are noted, big up. I'm waiting for you.

Sent from my Y3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom