Habari,
Wazir mkuu akiwa ziarani wilaya ya Wanging'ombe katika kijiji cha Ihanja kata ya Mdandu. Wananchi wakijipanga na mabango kuhusu kero zao ikiwemo ya umeme.
Wanakijiji hawa walijawa na gadhabu kwani tangu Tanesco iweke nguzo mwaka 2001 hadi Leo umeme haujawekwa kijijin hapo...
Habari wana jamvi,
Takribani mwaka mmoja sasa tangu uchaguzi mkuu upite ambo ulikuwa na vimbwanga na vituko na kutolewa kwa kauli za ajabu na ambazo hazikuwa na staha hata kidogo.
Wagombea wengi wa Chama cha Mapinduzi walitumia lugha nyingi za matusi dhidi ya mgombea wa urais kwa tiketi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.