Habari wakuu,
Naomba kuuliza, hivi inawezekana kuhama kutoka taasisi ya umma kwenda Halmashauri? If no, why? If yes mchakato wake ukoje?
Naomba kuwasilisha.
Ahsante
Okay, kwanza kabisa ile nimeingia picha linaanza nikasahau kusalimia [emoji23][emoji23][emoji23]. Swali la kwanza introduce yourself/background info Naanza kujielezea sijafika hata nusu mama mmoja panelist anasema next question[emoji849] nikadata! swali jingine duties and responsibilities hili...
Acheni huu upuuzi wa kuringishiana vyuo mlivyosoma, Kuna watu tumesoma vyuo vyenye profile kubwa bongo lakin tukienda utumishi tunakandwa! profile ya chuo na kufaulu interview za utumishi ni vitu viwili tofauti! By the way, kusoma chuo chenye profile kubwa sio kipimo Cha kuwa wew ni intellect...
I did an internship with World Vision Tanzania for 1 year! I can assure you, kama huna watu, tena watu kweli kweli wa kukupambania, utaishia kutuma tu maombi hata kuwa shortlisted tu haitatokea regardless of your qualifications!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.