Recent content by suluhu Mwanzo

  1. S

    Pinda: Waislamu waendelee kusimamia kuchinja

    UOZO unao mwenyewe ndio maana unapiga push up kwa Mungu wako!! ww kafiruna km mwenzio umemwita kafiri.
  2. S

    Natangaza kutonunua tena nyama ya ng'ombe kwenye butcher

    kukaa kwenu vijiweni na huko misikitini mnajikuta hamna kitu, wakati huu mnahaha mwataka kuchinja wanyama wa wenzenu loooh! nani mwamchinjia? wakristo??? sisi hatushirikiani nanyi katika madhabahu zenu.
  3. S

    Serikali ya Kikwete hoi! Yaelemewa...

    Unazifahamu hoja????!!! wangekuwa wana hoja za msingi zingejibiwa! hakuna jambo la msingi wanaloongea bali kuchonganisha watu, hasa kwa vile jamii yao haina upeo wa kuelewa mambo, wao huyabeba kama yalivyo mwagwa na wachochezi wao eti kwakuwa ni wenzao!!!!! then yanakuwa virus tu kwenye akili...
  4. S

    Rais Kagame umesema kweli.... World Economic Forum 2013

    Sio chuki binafsi!!! huyu mtu hatari sanaAAAAAAAAAAAA!!
  5. S

    Mpango wa kuvuruga Mchakato wa Katiba Mpya

    Alafu ule kodi zetu tulizozipata kwa kuuza kiti moto sio?
  6. S

    Mpango wa kuvuruga Mchakato wa Katiba Mpya

    Yaap!!! tena ninafuga viti moto wengi ndio uchumi wangu unapopatikana na nautumia pia kuwasaidia watoto wao ambao wako katika mazingira magumu hawawezi kulipa ada na wazazi wao wanashukuru kwelikweli, huku maostaz plus vitabu vyao vinawakatazwa sana wasitumie kiti moto!!! siwaelewi hawa jamaa!!
  7. S

    Walemavu.. Mnyonge mnyongeni.. Mengi apewe haki zake..

    Ni vyema uweke ushahidi wa "documents" tusizungumze kwa maneno tu!!!
  8. S

    Walemavu.. Mnyonge mnyongeni.. Mengi apewe haki zake..

    Hao wengine wengi!!! unaowafahamu kuwa wamedhulumu wako wapi angalau watoe kwaajili ya wenye uhitaji???
  9. S

    VIDEO: Ofisa wa TRA Arusha akichukua rushwa waziwazi!

    Jamani hata roho yake haimsuti kwa kile afanyacho???!!!!, kazi ipo!! yuko sharp kaificha then kaangalia kama upo usalama? kaweka mfukoni.Dah!!!!, hajui anajiua mwenye na kuiua familia yake, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna, hata kama hawatamfanya lolote jambo hilo litamfuatilia yeye na...
  10. S

    Hospitali ya Taifa Muhimbili haina uwezo?

    Jaman madktar walisema shida iliyopo ya vifaa na kadhalika, leo hii imedhihirika yy hakuna vifaa, kapelekwa kwingine je sisi tusioweza gharama za huko aliko???kele!! uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Hosp ya taifa kukosa vifaa akhaaaaa!! maisha bora kwa kila mkubwaaaaaaaaaaa!
  11. S

    NGARA ni Tanzania ama?

    Unafikiri kwanini tunawashtukia hao wajiitao wahangaza wa Tanzania?tunafahamu wako wahangaza wa nchi hii ila nyuma yao wako hao wanyaru na warundi a.k.a wahangaza?? uliza Kongo walipowakaribisha,wasivyokuwa na aibu hata kidogo walichokifanya utashangaa sana ndg hawa ni hatari sana, kuhusu tabia...
  12. S

    NGARA ni Tanzania ama?

    Tumechoka na hao wajiitao wahangaza wakishahamia kwetu(wanyaru na warundi kulia geuka ..........rejeeni kwenu)!!!!
  13. S

    Dr. Slaa,huna hata aibu

    Mh!! wakifa wakiwa ktk kumtetea mtume wataenda peponi!
Back
Top Bottom