kukaa kwenu vijiweni na huko misikitini mnajikuta hamna kitu, wakati huu mnahaha mwataka kuchinja wanyama wa wenzenu loooh! nani mwamchinjia? wakristo??? sisi hatushirikiani nanyi katika madhabahu zenu.
Unazifahamu hoja????!!! wangekuwa wana hoja za msingi zingejibiwa! hakuna jambo la msingi wanaloongea bali kuchonganisha watu, hasa kwa vile jamii yao haina upeo wa kuelewa mambo, wao huyabeba kama yalivyo mwagwa na wachochezi wao eti kwakuwa ni wenzao!!!!! then yanakuwa virus tu kwenye akili...
Yaap!!! tena ninafuga viti moto wengi ndio uchumi wangu unapopatikana na nautumia pia kuwasaidia watoto wao ambao wako katika mazingira magumu hawawezi kulipa ada na wazazi wao wanashukuru kwelikweli, huku maostaz plus vitabu vyao vinawakatazwa sana wasitumie kiti moto!!! siwaelewi hawa jamaa!!
Jamani hata roho yake haimsuti kwa kile afanyacho???!!!!, kazi ipo!! yuko sharp kaificha then kaangalia kama upo usalama? kaweka mfukoni.Dah!!!!, hajui anajiua mwenye na kuiua familia yake, kile apandacho mtu ndicho atakachovuna, hata kama hawatamfanya lolote jambo hilo litamfuatilia yeye na...
Jaman madktar walisema shida iliyopo ya vifaa na kadhalika, leo hii imedhihirika yy hakuna vifaa, kapelekwa kwingine je sisi tusioweza gharama za huko aliko???kele!! uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Hosp ya taifa kukosa vifaa akhaaaaa!! maisha bora kwa kila mkubwaaaaaaaaaaa!
Unafikiri kwanini tunawashtukia hao wajiitao wahangaza wa Tanzania?tunafahamu wako wahangaza wa nchi hii ila nyuma yao wako hao wanyaru na warundi a.k.a wahangaza?? uliza Kongo walipowakaribisha,wasivyokuwa na aibu hata kidogo walichokifanya utashangaa sana ndg hawa ni hatari sana, kuhusu tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.