Dr. Slaa,huna hata aibu

Dr. Slaa,huna hata aibu

Status
Not open for further replies.
Anasema amekopa Millioni 20 sio 140.Wakati chama kila siku wanazunguka na vikapu kuomba yeye anajikopesha.Halafu anadanganya.Dhambi ya kukiuka amri ya 6 itamtafuna hadi kaburini

hata kama ni milioni 20,nani kamruhusu.huyu nae ni fisadi tu.
 
wafuasi wa ponda utawajua tuuuu....kazi yao ni kuumiza kichwa kwa nn wakristo wanafanikiwaga badala ya kuumiza kichwa je wakristo wanafanya nn tuige na tuwapite tue na maendeleo kama wao....tatizo kubwa kichwan mwenu ni shule wafuasi wa Ponda..Mungu akuokoe.

wanafanikiwa kwa kukupua na kufisadi TRA,BANDARINI.kuna mwingine amekupua milioni 140,lakini anadai amekupua milion 20 TU.
 
Wewe acha tabia yako masuala ya uamusho ndio unaleta hapa sasa kumbe mnasubiri gas ibaki huko muendeleze mihadhara yenu huko si ndio.ebu andika upya kwanza kwani hueleweki kwani unaonekana kama mchoma makanisa vile
 
Nimo mkuu kwa ajili ya kuweka mambo sawa.Si unajua chadema wanajikweza sana kwa kila kitu,wanapiga domo tu wenzao wanafight bila kujali mvua.Nao kama wajanja weende huko.Si wanapiga kelele tu wakiwa dar.

Hauleweki, unapigana na CHADEMA au wakristo?
 
Unathubutu kupanua mdomo na kusema kuwa vuguvugu la wananchi mtwara kupinga gasi kwenda Dar es salaam ni matokeo ya M4C,una uhakika au kama kawaida siku zote ni watu wa kupenda sifa? Ngoma yoyote inayorindima mnataka kucheza hata kama steps zake hamzijui.Mnaishia kujisifu,mbona hamuendi huko kuungana na wananchi?

Hohengera kwako Ustaadh Ilunga hasan kapungu, kazi yako imeonekana,wanaobisha watafute cd ya ustaadhi Ilunga akiwa Mtwara wakati akifafanua mfumo kristo na namna unavyofanya kazi.Kwanini mtwara wamekuwa masikini.Wake up you people dont rely on propaganda!!!

Kazi tunayo aisee..............
 
Kwanini maeneo yanayokaliwa na waislamu huwa hayana maenedeo ? e.g Mtwara, Lindi, Tabora, Tanga, Mafia n.k Na pia nchi za kiislamu hazina amani, wanajenga chuki, na wakikosa wa kumjengea chuki wanachukiana wenyewe kwa wenyewe. Halafu TV zao huwa ni habari za vita, kujitoa muhanga, na uchochezi. Hakuna cha burudani wala tanthiliya. e. press tv, aljazeera, etc Kwanini ?[/Q
 
Kwa fikra kama hizi za kina kichwa mbovu .. Tutaweza kweli kumjua adui wa maendeleo ya nchi hii.
Au ni chama tawala kimezusha propaganda ili hoja za wanaMtwara zionekane dhaifu?!
Kama ni mbinu hiyo,nakubali sasa ukongwe wa chama ni rasilimali kubwa sana kwake.
 
Last edited by a moderator:
Unathubutu kupanua mdomo na kusema kuwa vuguvugu la wananchi mtwara kupinga gasi kwenda Dar es salaam ni matokeo ya M4C,una uhakika au kama kawaida siku zote ni watu wa kupenda sifa? Ngoma yoyote inayorindima mnataka kucheza hata kama steps zake hamzijui.Mnaishia kujisifu,mbona hamuendi huko kuungana na wananchi?

Hohengera kwako Ustaadh Ilunga hasan kapungu, kazi yako imeonekana,wanaobisha watafute cd ya ustaadhi Ilunga akiwa Mtwara wakati akifafanua mfumo kristo na namna unavyofanya kazi.Kwanini mtwara wamekuwa masikini.Wake up you people dont rely on propaganda!!!

Ama kweli wewe ni kichwa mbovu kama za walio kutuma
 
mods, mods , mods. Is there no any need to delete this owkward post ? mzee wa watu anaambiwa "unapanua" mdomo! kwani ninyi hamkuona maandamano ya kwanza yalikua yana magnitude ya chama gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom