Hospitali ya Taifa Muhimbili haina uwezo?

Hospitali ya Taifa Muhimbili haina uwezo?

Hata kama Muhimbili kuna uhaba wa dawa pamoja na vifaa tiba lakini si kwa kiwango cha kushindwa kutibu malaria , Muhimbili ina uwezo wa kutibu malaria bila shaka yoyote , labda kama anachoumwa Manumba ni zaidi ya Malaria , Bali waona mbali wanasema Serikali ilikwepa kumpeleka Mgonjwa huyo Muhimbili ili kukwepa Masimango , kutokana na dhuluma walizowafanyia madaktari wa nchi hii .
 
Pale ni sehemu ya kupumzishia mwili wakati Mkuluu JK akijiandaa na watu wake kuandaa jina la mrithi wa nafasi hiyo, ni miujiza tu ya Yesu kama alivyofanya kwa Lazaro ndiyo itamtokea mzee wa usukumani. Kwa hakika ni kwamba Zabur 49 imekwisha timia, kwa udongo ulitoka na kwa udongo unarudi jina la Bwana libarikiwe.
 
Mapolisi wanakimbia kivuli chao wenyewe pale Muhimbili... Sijui Kova zamu yake lini maana yeye alitunga hadi sinema kuhusu Ulimboka!!
 
Huwa siku zote naamini kuwa mwisho wa matatizo yote ya tiba ni hospitali yetu ya taifa Muhimbili.Lakini nimejikuta napata shaka hasa baada ya DCI Robert Manumba kuwa anahudumiwa na hospitali ya binafsi Aga Khan.Kwa kiongozi mkubwa kama huyu nilitaraji apate huduma zake MNH na ikishindikana apelekwe nje.Naambiwa kwa wenzetu waliopiga hatua, hata hospitali za jeshi huwa na huduma daraja la kwanza kabisa hasa inapotokea tatizo la afya kwa viongozi wa ngazi za juu.

Muhimbili ni kwa ajili ya masikini mkuuu
 
Haumwi malaria huyo kuna kitu kinaendelea..

Sababu hata appollo hawatibu malaria, hawanaga kipimo cha malaria as huo ugonjwa kwao haupo


Hapa kuna mchezo mafisadi wanatuchezea
 
Inashangaza sana,maana na nguli wa fani zote wako hapo.

kwa kweli inashangaza sana.
mabilio na mamilioni yanatengwa katika vitu vingine lakini hosp ya taifa hakuna vifaa, madaktari wanlia njaa tena hapo ndio kuna mabingwa mbalimbali.
ila kutumia katika sherehe za ikulu, shereza za uhuru na mapinduzi ahh tunatumia mabilioni.
hii ni aibu na inadhihirisha udhaifu wa serikali yetu.
 
Pale ni sehemu ya kupumzishia mwili wakati Mkuluu JK akijiandaa na watu wake kuandaa jina la mrithi wa nafasi hiyo, ni miujiza tu ya Yesu kama alivyofanya kwa Lazaro ndiyo itamtokea mzee wa usukumani. Kwa hakika ni kwamba Zabur 49 imekwisha timia, kwa udongo ulitoka na kwa udongo unarudi jina la Bwana libarikiwe.

Hali kweli tete kiasi hicho naona.
 
kwa kweli inashangaza sana.
mabilio na mamilioni yanatengwa katika vitu vingine lakini hosp ya taifa hakuna vifaa, madaktari wanlia njaa tena hapo ndio kuna mabingwa mbalimbali.
ila kutumia katika sherehe za ikulu, shereza za uhuru na mapinduzi ahh tunatumia mabilioni.
hii ni aibu na inadhihirisha udhaifu wa serikali yetu.

Spot on mate......
 
na bado ni hosp ya taifa vipaumbele vya serikali viko wapi? ikiwa hosp ya taifa inakosa vifaa, hosp ya taifa??!!!!!



Jaman madktar walisema shida iliyopo ya vifaa na kadhalika, leo hii imedhihirika yy hakuna vifaa, kapelekwa kwingine je sisi tusioweza gharama za huko aliko???kele!! uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Hosp ya taifa kukosa vifaa akhaaaaa!! maisha bora kwa kila mkubwaaaaaaaaaaa!
 
Jaman madktar walisema shida iliyopo ya vifaa na kadhalika, leo hii imedhihirika yy hakuna vifaa, kapelekwa kwingine je sisi tusioweza gharama za huko aliko???kele!! uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Hosp ya taifa kukosa vifaa akhaaaaa!! maisha bora kwa kila mkubwaaaaaaaaaaa!
Hii ndo Tz,ni zaidi ya uijuavyo.
 
Yawezekana ni seroconerted wanaona hata akienda pale MNH there will be no changes. Haiwezekani akawa na malaria tu siku zote hizo haiimprove. Au ana other medical conditions lakini nawasiwasi na kwanini govt iko reluctant kufanya maamuzi kumpeleka India kwenye hospital yao. Am sorry kama nimewakwaza.

Cryptococcal meningitis hiyo
 
Kashapelekwa India,kila la kheri.........
 
Hizi biashara za hospitali ya Taifa ni upuuzi mtupu...mfano ni hiyo muhimbili ni mzigo kwa serikali na haina lolote,hizo billions to operate muhimbili bora wawe wanawasaidia maskini kununua insurance wakatibiwe wanapotaka...muhimbili ibaki tuu iwe academic institution and research for the Nation,serikali iachane na direct health/medical care kama kuendesha hospitals or clinics
 
Hizi biashara za hospitali ya Taifa ni upuuzi mtupu...mfano ni hiyo muhimbili ni mzigo kwa serikali na haina lolote,hizo billions to operate muhimbili bora wawe wanawasaidia maskini kununua insurance wakatibiwe wanapotaka...muhimbili ibaki tuu iwe academic institution and research for the Nation,serikali iachane na direct health/medical care kama kuendesha hospitals or clinics

Hili nalo neno.
 
Back
Top Bottom