Unajua sisi maana ya kufanya vile vituo visiwe na Siti za abiria kupumzika ni kuwa haitatokea mtu anakaa kituoni zaidi ya dakika tano anasubiria basi na ndivyo inavyofanyika kwa wenzetu. Sasa huku kwetu mtu unasubiria gari kituoni kwa zaidi ya nusu saa na likija unakuta limejaa pomoni hata pa...
Mradi ni mzuri ila una management ya kishamba haijawahi tokea, wakati mwingine huwa najiuliza hawa wanaondesha huu mradi wana akili kweli??? Kwa mfano ukienda kimara au kivukoni mida ya mchana unakutana na lundo la watu waliokwisha lipia nauli zao vituoni wanasubiria basi, cha ajabu ukiangalia...
Tatizo la dar foleni inasababishwa na madereva wapuuzi wasiojali taa za barabarani kwenye makutano ya barabara. Kwa hiyo mara nyingi inatatikana traffic wawepo ili kuyaongoza magari, kwa hiyo kama hawapo kwa sababu nao wanaogopa mvua ni majanga makubwa kama leo ilivyo
Aisee shule nyingi za private zinazofanya vizuri ni kwa sababu ya nidhamu ya hali ya juu ambayo inasimamiwa vizuri. Mtoto anafundishwa namna nzuri ya kutunza muda hivyo anajua ni muda upi wa kufanya kipi.
Muda wa kusoma ni kusoma kucheza ni kucheza kusali ni kusali pia . Hakuna loose time hadi...
Server za kibongo najua hazina uwezo wa kuaccess watu wengi kwa mara moja lakini sitaki kuamini kuwa hadi usiku wa maneno kuna mlundikano wa watu kwenye hilo server.....! Kuna kitu hakiko sawa na wahusika wamekaa kimya bila kutoa ufafanuzi wowote.
"The server at olas.heslb.go.tz is taking too long to respond.
The site could be temporarily unavailable or too busy. Try again in a few moments.
If you are unable to load any pages, check your computer's network connection.
If your computer or network is protected by a firewall or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.