Ni logic questions mb nani anazitengeneza na hii mtandao inanunua mb toka kampuni Fulani au inatengeneza zenyewe kama inatengeneza zenyewe mbona bei zinawiana? Na pia kama wanaweza kutengeneza wenyewe kwanini wasisushe bei za hizo mb kama ushindani wa soko
Habari wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kuandika secretariat ya ajira wa kada mkufunzi maendeleo ya jamii, kwa yeyote mwenye kujua ABCD kuhusu kada hii na ukufunzi kwa ujumla unaweza kishare experience, mawazo na ushauri, natanguliza shukran zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.