Mchezo wa Bao kupitia AI (Artificial Intelligence)

YphNet

Member
Sep 3, 2022
62
103
Wapendwa, najua mchezo huu vijana wengi sasa hawaufahamu, hivyo katika private project yangu ya AI (Artificial Intelligence) nimeamua kuchagua mchezo wa bao kutengeneza simple game ambalo mchezaji atacheza vs AI. Kwa sasa linapatikana kwenye Android pekee.

Nimechagua mchezo huu ili kuufanya uwe kidigitali zaidi na watu wengi waweze kujifunza. Ndani yake nimeweka aina tatu za bao: Bao kubwa, bao dogo na bao toto. Bao kubwa ndio maarafu zaidi lakini ndo linakera katika kujifunza kwakuwa linasheria nyingi na vipengele vingi. Bao dogo ni sawa na bao kubwa isipokuwa kipengele cha "kunamua" hakipo.

Bao toto, ni rahisi zaidi kujifunza kwakuwa halina sheria nyingi, hata hivyo linamahesabu mengi tofauti na inavyodhaniwa. Kwa mtu ambaye hajui kabisa bao na mshauri ajifunze bao toto kwanza, na ndo aina ambayo hata mimi mtengenezaji naicheza zaidi. Kwa ambao hawajui bao toto, maelezo yafuatayo machache tu utaweza kulicheza:
JINSI YA KUCHEZA BAO TOTO:
  • Lazima ucheze kuanzia chumba (shimo) chochote chenye kete mbili au zaidi
  • Mwelekeo wa kusambaza kete haubadiliki mpaka zamu yako ya kucheza iishe
  • Mshindi ni yule ambaye atahakikisha vyumba vya mstari wa ndani wa mpinzani
hakuna shimo lolote lenye kete mbili au zaidi.
  • Unapokula kete za mpinzani unazoa pamoja na kete zako ili kuendelea kusambaza
  • Bao toto halizingatii sheria za matumizi ya "jumba" wala "vichwa au kimbi"
* Kwa ufupi ni sheria hizo tu, ukicheza utaelewa zaidi.

Game hili ni la Android, lipo Playstore, search "baotz" kisha install (free). Ni file dogo tu chini ya 250 KB.
Linahitaji Android 4.1 so kwa sasa karibu kila simu itakubali. Pia unaweza weka kwenye tablet, dashboard ya gari yenye Android (Android player) pia Android TV (nb: sijatest).

NB: Kwa sasa lina level 3. Bado AI haina ubora sana lakini ukiset level 3 (L3) kama unamawazo litakuchapa, pia AI engine ya Bao Toto type inauwezo mkubwa zaidi. Maboresho mengi yanahitajika ili liweze kuwa bora. Kwa sasa linatumia simple evaluation functions. Tofauti na nilivyolichukulia ni project tough kinamna yake, linahitaji permutations na evaluations za kutosha ikiwezekana baadaye na machine-learning ili licheze vizuri katika levels za kibingwa.
Anyway, enjoy level hizo hizo chache kwanza.
Playstore link: BaoTz - Apps on Google Play


baonet.png



Naambatanisha hiki kitabu kidogo (PDF eBook) cha Kiswahili chenye maelezo jinsi ya kutumia BaoTz app katika kucheza game la bao katika simu yako.


UPDATE: version 2.2.0
Kwa sasa huruhusiwi kula jumba wakati wa kutakata. Haya ni mabadiliko ya sheria ya bao kubwa. Update sasa ili uweze kutumia sheria hii ambayo inatumika na wengi.
 

Attachments

  • BaoTzGuide.pdf
    514.1 KB · Views: 9
Daa, mkuu hadi hapo nidai buku kwanza. Mchezo wa bao ni mchezo wa kiasili wa nchi nyingi za kiafrika. Hata hivyo hauna promotion nyingi kwenye AI. nilishaona baadhi ya apps za waganda na warwanda lakini sio user friendly wala hazifanyi kazi.
Kongole mkuu, ngoja nipakue niijaribu.
 
Daa, mkuu hadi hapo nidai buku kwanza. Mchezo wa bao ni mchezo wa kiasili wa nchi nyingi za kiafrika. Hata hivyo hauna promotion nyingi kwenye AI. nilishaona baadhi ya apps za waganda na warwanda lakini sio user friendly wala hazifanyi kazi.
Kongole mkuu, ngoja nipakue niijaribu.
Tuko pamoja. Nimelitengeneza mwenyewe na hilo hilo linanifunza, wala siko vizuri kivile kwenye huo mchezo. Nilichofanya ni ku-implement simple scoring evaluation functions / algorithms kwa kutumia rules za mchezo wenyewe. So linahitaji maboresho mengi kuongeza (AI) hardship. Hata hivyo kidogo naamini linafurahisha. Hapo kwenye icon ya blue ni Options ya mchezo mpya, level n.k. Pia S:On/S:Off ni sauti kuwasha au kuzima.
 
Wapendwa, najua mchezo huu vijana wengi sasa hawaufahamu, hivyo katika private project yangu ya AI (Artificial Intelligence) nimeamua kuchagua mchezo wa bao kutengeneza simple game ambalo mchezaji atacheza vs AI. Kwa sasa linapatikana kwenye Android pekee.

Nimechagua mchezo huu ili kuufanya uwe kidigitali zaidi na watu wengi waweze kujifunza. Ndani yake nimeweka aina tatu za bao: Bao kubwa, bao dogo na bao toto. Bao kubwa ndio maarafu zaidi lakini ndo linakera katika kujifunza kwakuwa linasheria nyingi na vipengele vingi. Bao dogo ni sawa na bao kubwa isipokuwa kipengele cha "kunamua" hakipo.

Bao toto, ni rahisi zaidi kujifunza kwakuwa halina sheria nyingi, hata hivyo linamahesabu mengi tofauti na inavyodhaniwa. Kwa mtu ambaye hajui kabisa bao na mshauri ajifunze bao toto kwanza, na ndo aina ambayo hata mimi mtengenezaji naicheza zaidi. Kwa ambao hawajui bao toto, maelezo yafuatayo machache tu utaweza kulicheza:
JINSI YA KUCHEZA BAO TOTO:
  • Lazima ucheze kuanzia chumba (shimo) chochote chenye kete mbili au zaidi
  • Mwelekeo wa kusambaza kete haubadiliki mpaka zamu yako ya kucheza iishe
  • Mshindi ni yule ambaye atahakikisha vyumba vya mstari wa ndani wa mpinzani
hakuna shimo lolote lenye kete mbili au zaidi.
  • Unapokula kete za mpinzani unazoa pamoja na kete zako ili kuendelea kusambaza
  • Bao toto halizingatii sheria za matumizi ya "jumba" wala "vichwa au kimbi"
* Kwa ufupi ni sheria hizo tu, ukicheza utaelewa zaidi.

Game hili ni la Android, lipo Playstore, search "baotz" kisha install (free). Ni file dogo tu chini ya 250 KB.
Linahitaji Android 4.1 so kwa sasa karibu kila simu itakubali. Pia unaweza weka kwenye tablet, dashboard ya gari yenye Android (Android player) pia Android TV (nb: sijatest).

NB: Kwa sasa lina level 3. Bado AI haina ubora sana lakini ukiset level 3 (L3) kama unamawazo litakuchapa, pia AI engine ya Bao Toto type inauwezo mkubwa zaidi. Maboresho mengi yanahitajika ili liweze kuwa bora. Kwa sasa linatumia simple evaluation functions. Tofauti na nilivyolichukulia ni project tough kinamna yake, linahitaji permutations na evaluations za kutosha ikiwezekana baadaye na machine-learning ili licheze vizuri katika levels za kibingwa.
Anyway, enjoy level hizo hizo chache kwanza.

View attachment 2349815
Ukihitaji msaada wowote tuwasiliane mkuu.
 
Wapendwa, najua mchezo huu vijana wengi sasa hawaufahamu, hivyo katika private project yangu ya AI (Artificial Intelligence) nimeamua kuchagua mchezo wa bao kutengeneza simple game ambalo mchezaji atacheza vs AI. Kwa sasa linapatikana kwenye Android pekee.

Nimechagua mchezo huu ili kuufanya uwe kidigitali zaidi na watu wengi waweze kujifunza. Ndani yake nimeweka aina tatu za bao: Bao kubwa, bao dogo na bao toto. Bao kubwa ndio maarafu zaidi lakini ndo linakera katika kujifunza kwakuwa linasheria nyingi na vipengele vingi. Bao dogo ni sawa na bao kubwa isipokuwa kipengele cha "kunamua" hakipo.

Bao toto, ni rahisi zaidi kujifunza kwakuwa halina sheria nyingi, hata hivyo linamahesabu mengi tofauti na inavyodhaniwa. Kwa mtu ambaye hajui kabisa bao na mshauri ajifunze bao toto kwanza, na ndo aina ambayo hata mimi mtengenezaji naicheza zaidi. Kwa ambao hawajui bao toto, maelezo yafuatayo machache tu utaweza kulicheza:
JINSI YA KUCHEZA BAO TOTO:
  • Lazima ucheze kuanzia chumba (shimo) chochote chenye kete mbili au zaidi
  • Mwelekeo wa kusambaza kete haubadiliki mpaka zamu yako ya kucheza iishe
  • Mshindi ni yule ambaye atahakikisha vyumba vya mstari wa ndani wa mpinzani
hakuna shimo lolote lenye kete mbili au zaidi.
  • Unapokula kete za mpinzani unazoa pamoja na kete zako ili kuendelea kusambaza
  • Bao toto halizingatii sheria za matumizi ya "jumba" wala "vichwa au kimbi"
* Kwa ufupi ni sheria hizo tu, ukicheza utaelewa zaidi.

Game hili ni la Android, lipo Playstore, search "baotz" kisha install (free). Ni file dogo tu chini ya 250 KB.
Linahitaji Android 4.1 so kwa sasa karibu kila simu itakubali. Pia unaweza weka kwenye tablet, dashboard ya gari yenye Android (Android player) pia Android TV (nb: sijatest).

NB: Kwa sasa lina level 3. Bado AI haina ubora sana lakini ukiset level 3 (L3) kama unamawazo litakuchapa, pia AI engine ya Bao Toto type inauwezo mkubwa zaidi. Maboresho mengi yanahitajika ili liweze kuwa bora. Kwa sasa linatumia simple evaluation functions. Tofauti na nilivyolichukulia ni project tough kinamna yake, linahitaji permutations na evaluations za kutosha ikiwezekana baadaye na machine-learning ili licheze vizuri katika levels za kibingwa.
Anyway, enjoy level hizo hizo chache kwanza.

View attachment 2349815
Kwa wanao taka link ya game Playstore ni hii: BaoTz - Apps on Google Play
 
Daa, mkuu hadi hapo nidai buku kwanza. Mchezo wa bao ni mchezo wa kiasili wa nchi nyingi za kiafrika. Hata hivyo hauna promotion nyingi kwenye AI. nilishaona baadhi ya apps za waganda na warwanda lakini sio user friendly wala hazifanyi kazi.
Kongole mkuu, ngoja nipakue niijaribu.
Nimeliupdate kupunguza baadhi ya hitilafu, check update Playstore (v2.0.0)
 
Nimechagua mchezo huu ili kuufanya uwe kidigitali zaidi na watu wengi waweze kujifunza. Ndani yake nimeweka aina tatu za bao: Bao kubwa, bao dogo na bao toto. Bao kubwa ndio maarafu zaidi lakini ndo linakera katika kujifunza kwakuwa linasheria nyingi na vipengele vingi. Bao dogo ni sawa na bao kubwa isipokuwa kipengele cha "kunamua" hakipo.
This's good...

Kuna wakati niliifikiria hii project but the problem ikawa hata kucheza bao lenyewe sifahamu! Kwangu nilijiona mtumwa kupenda sana kucheza chess wakati tuna mchezo wetu wa asili... so, keep it up!!
 
This's good...

Kuna wakati niliifikiria hii project but the problem ikawa hata kucheza bao lenyewe sifahamu! Kwangu nilijiona mtumwa kupenda sana kucheza chess wakati tuna mchezo wetu wa asili... so, keep it up!!
Shukran sana. Hata mimi lilinikuta wazo linalofanana na lako lakini pia kwanini hata vigemu vya asili yetu tusitengeneze wenyewe tukae pending mpaka watengeneze wazungu. Hata mwenyewe siko vizuri kwenye huo mchezo, pia kipengele cha AI still kigumu (kutengeneza deep search function bila kumaliza RAM) but naendelea kuliboresha kadri ninavyopata nafasi.
 
Kwanza hongera mkuu
But kwasisi wachezaji gemu lako bado liko kwa beginners aisee .
1) linazidisha kete ukiwa unacheza
2)halitumii sheria ya kutumia kete ya kuokota nje kama umeishiwa na mwenzio bado anayo.
3) nyumba linaachia kwa mchezo rahisi sana.
4)ongezea colours ziwe nzuri kwa mfano mm napenda dark theme.

Ila kwa yote hongera mwanzo mzuri

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hongera mkuu
But kwasisi wachezaji gemu lako bado liko kwa beginners aisee .
1) linazidisha kete ukiwa unacheza
2)halitumii sheria ya kutumia kete ya kuokota nje kama umeishiwa na mwenzio bado anayo.
3) nyumba linaachia kwa mchezo rahisi sana.
4)ongezea colours ziwe nzuri kwa mfano mm napenda dark theme.

Ila kwa yote hongera mwanzo mzuri

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Shukran sana mkuu, unajua huu mchezo unasheria nyingi sana so hata implementation ya AI (Artificial Intelligence) inachanganya. So ntajitahidi update zijazo nikipata nafasi kuboresha. Maoni yenu ni muhimu kwangu kuliboresha.
 
Kwanza hongera mkuu
But kwasisi wachezaji gemu lako bado liko kwa beginners aisee .
1) linazidisha kete ukiwa unacheza
2)halitumii sheria ya kutumia kete ya kuokota nje kama umeishiwa na mwenzio bado anayo.
3) nyumba linaachia kwa mchezo rahisi sana.
4)ongezea colours ziwe nzuri kwa mfano mm napenda dark theme.

Ila kwa yote hongera mwanzo mzuri

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
But kwenye kipengele cha kuzidisha kete hapo ungenifafanulia kidogo, linazidisha kete upande wako au upande wa AI (simu)?
Unajua mwenyewe siko vizuri sana kwenye huu mchezo ila nimependa tu kuudigitalize kama kuuenzi na watu wapate kuujua zaidi.
 
But kwenye kipengele cha kuzidisha kete hapo ungenifafanulia kidogo, linazidisha kete upande wako au upande wa AI (simu)?
Unajua mwenyewe siko vizuri sana kwenye huu mchezo ila nimependa tu kuudigitalize kama kuuenzi na watu wapate kuujua zaidi.
Kwenye mchezo huu, kuna kete za mkononi. Sasa zile game linatoa zaidi ya kete moja mkononi kwako. Kwahiyo unajikuta mna difference ya kete mbili kwa turn yake. Sasa sheria inabidi uchukue nje sehem ya kete moja. Game halikubali sasa, means game inabidi urestart


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
But kwenye kipengele cha kuzidisha kete hapo ungenifafanulia kidogo, linazidisha kete upande wako au upande wa AI (simu)?
Unajua mwenyewe siko vizuri sana kwenye huu mchezo ila nimependa tu kuudigitalize kama kuuenzi na watu wapate kuujua zaidi.
Ona hiyoo mkuu utajua ninachokisena
Screenshot_20220927-200203.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Not bad!

Kuna game linaitwa Checkers playstore alinionyesha nephew tukawa tunacheza multplayer na unaweza kucheza online vilevile, ni bonge la game yaani ni uhalisia kabisa na lina very enhanced graphics. Jifunze kutoka kwa hawa jamaa as it is a good thing kujifunza kutoka kwa waliokutangulia.
checkers 1.jpg
Checkers 2.jpg
Checkers 3.jpg
Checkers 4.jpg
checkers.jpg
 
Kwenye mchezo huu, kuna kete za mkononi. Sasa zile game linatoa zaidi ya kete moja mkononi kwako. Kwahiyo unajikuta mna difference ya kete mbili kwa turn yake. Sasa sheria inabidi uchukue nje sehem ya kete moja. Game halikubali sasa, means game inabidi urestart


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Kwenye mchezo huu, kuna kete za mkononi. Sasa zile game linatoa zaidi ya kete moja mkononi kwako. Kwahiyo unajikuta mna difference ya kete mbili kwa turn yake. Sasa sheria inabidi uchukue nje sehem ya kete moja. Game halikubali sasa, means game inabidi urestart


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ok nishaelewa. Game limedizainiwa kwamba ukishachukua kete moja nje (kunamua) unabonyeza chumba utakacho weka kete kisha chumba cha kwanza unachoanzia kusambaza (kichwa). Baada ya hapo hubonyezi chumba chochote mpaka sehemu ya kula ikifika. Kitendo cha kusambaza kete kinafanyika automatically for you kulingana na kichwa ulichoanzia. Ukisha chagua kichwa cha kuanzia linaendelea lenyewe automatically hakuna haja ya kubonyeza kila chumba.
 
Not bad!

Kuna game linaitwa Checkers playstore alinionyesha nephew tukawa tunacheza multplayer na unaweza kucheza online vilevile, ni bonge la game yaani ni uhalisia kabisa na lina very enhanced graphics. Jifunze kutoka kwa hawa jamaa as it is a good thing kujifunza kutoka kwa waliokutangulia.
View attachment 2369921View attachment 2369922View attachment 2369923View attachment 2369924View attachment 2369925
Ni kweli. But kipengele cha AI (Artificial Intelligence) ndo kigumu zaidi ambacho nastruggle nacho kwanza. Draft zuri zaidi ni Dalmax kwa maana level ya AI. By the way thanks.
 
Ni kweli. But kipengele cha AI (Artificial Intelligence) ndo kigumu zaidi ambacho nastruggle nacho kwanza. Draft zuri zaidi ni Dalmax kwa maana level ya AI. By the way thanks.
Mbona karibia kila comment umeandika sijui umetuma AI. Umetumia tumia PL gani ku develop ilo game?, AI umetumia library gani?, model iyo ya sijui AI ume code from scratch?. data umetoa wapi ka kutrain iyo model? Accuracy yake ni percentage ngapi?

Na mashaka na iyo sijui AI umeitumia kwenye ilo gama. Hmna cha AI wala nini lbd lumetumia logic condition ku code ndo unaziita AI (naomba lnk ya git nika one algorithm za iyo model)
 
Back
Top Bottom