Recent content by Sulesh24

  1. Sulesh24

    Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

    Hata Korea anauwezo wa kupiga popote pale ndani ya Israel, ivi jiulize kati ya Israel na USA nani ni super power ukipta jibu jiulize why marekani afyata kuishambulia korea
  2. Sulesh24

    Jamhuri ya kiislam ya iran ni ya 7 katika uwezo wa kijeshi duniani

    Ndugu huwezi kufananisha nchi inayonunua silaha na inayounda yenyewe silaha, Saudia ni wanunuzi wakubwa wa silaha za USA, lkn Iran inazisha na kuunda kila aina ya Silaha ya kivita
  3. Sulesh24

    Don't Allow this! Kumwoa mwanamke aliyekuzidi urefu na elimu

    Utafiti feki huo, kuna jamaa zangu kibao wake zao ni warefu zaid yao lkn ndoa zao zina amani na furaha tele
  4. Sulesh24

    Unapoambiwa Julius Kambarage Nyerere ni baba wa taifa la Tanzania uwe unaelewa

    Na ndio mwafrika wa kwanza kusalimiana na Malkia Elizabert bila gloves
  5. Sulesh24

    Unapoambiwa Julius Kambarage Nyerere ni baba wa taifa la Tanzania uwe unaelewa

    Ndio man kuna jamii zinapendekeza Awe mtakatifu
  6. Sulesh24

    Russia: Rais Putin anyeshewa na mvua bila ya kukatisha wimbo wa taifa

    Duh kweli Putin ni Komandoo utafikiri co Rais wa taifa kubwa km Rassia.
  7. Sulesh24

    Russia: Rais Putin anyeshewa na mvua bila ya kukatisha wimbo wa taifa

    Angekuwa yule babu wa USA cjui ingekuwaje naisi kideri kingemuuwa
  8. Sulesh24

    Christiano Ronaldo, shoga wa kisirisiri kwa sababu za kibiashara

    Czani km ni kweli hizo ni picha za kutengenezwa, na mara nyingi huwa wanalengwa watu mashuhuri na matajiri wakubwa
  9. Sulesh24

    Mapya yaibuka: Maafisa wa TMAA walipewa hela ili Smelter isijengewe Tanzania

    Shamba la bibi bwana, babu kafa watu wanagawana mali
  10. Sulesh24

    Je, wajerumani ni aliens?

    Marekani tecnolojia nyingi aliiba ujerumani na urusi
  11. Sulesh24

    Hii style ya wasichana kusingizia siku zao inaudhi sana

    Kwa sisi mafundi Bomba tukishagundua ugumu wa kazi huwa tunazibuwa Chemba Kubwa
  12. Sulesh24

    Maonesho ya kijeshi yafanyika Urusi;Putin amesema hakuna taifa lolote linaloweza kuwashinda warusi

    Co kweli mkuu Luna Jenerali mmoja wa Nato aliwahi kusema Rassia inauwezo was kupiga vituo vyote vya kijeshi vya Ulaya kwa muda wa dakika 30
  13. Sulesh24

    MELI YA UJASUSI YA URUSI YAZAMA UTURUKI

    Hata marekani walipoenda kumuua Osama palikuwa ni peupe lkn helikopta yao moja kwa Bahati mbaya bawa moja liligonga ukuta na kusababisha ajali, kumbuka hii aparesheni ilikua silent na cri mno na hapakuwa na purukushani hata ya kurushiw jiwe. Jibu ni kwamba ajali haizuiliki mkuu
  14. Sulesh24

    Wanaume jifunzeni kukiss vizuri!

    Hata wanawake wengi hawajui kupokea deep kiss
  15. Sulesh24

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Hahahaaa nimekumbuka mbal xn kipind nipo kidato cha pili kuna ticha alikuw anapenda san kunituma kwake kumbe alikua na lake jambo. Cku hio alimtuma Dogo janja (mdogoangu) aniite nimsindikize hospitali majira km saa NNE ucku, c unajuwa kwa mbwinde mida hio ni giza totoro umeme hakuna. Ghafla...
Back
Top Bottom