Je Russia walikuwa kwenye operesheni gani?sawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.
sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.
Acha kuwaza kwa kutumia Madabuli, Juzi kuna Ndege ya K8vita ya Marekabi ilizama baharini huko Asia, hata wiki haijaisha, Ajali zipo sana. So Meli ya Mizigo unaidharau?sawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.
sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.
We mjinga,,,kwani hao majasusi wana miili ya chuma au malaikaww acha upumbavu kwanza tambua ile ni meli ya kijasusi. ule sio mtumbi ambao unazama kikuku kuku.
Maisha yameshakuwa magumu. Watu hawana cha kupoteza wanaomba bora vita itokee tu kila kitu kivurugike hivyo tuanze upyaBinadamu tumekua watu wa ajabu sana mpaka vita nazo tunaziwekea ushabiki kama mpira.
Utasikia team North Korea, team USA au team Russia
Hii ni dalili mbaya sana duniani nadhani mwisho wa dunia unakaribia.
Jibu zuri sana hili....pata pepsi barid hapo mkuuUmeandika kijinga na kiushabiki sana! Tukio la ajali unalihusishaje na uwezo wa kijeshi? Unajua ni ajali ngapi zimetokea kwa vyombo vya kijeshi vya marekani? Unafahamu kwamba wakati askari mahili wa kimarekani wenye ujuzi wa hali ya juu walipotumwa kwenda kumvamia Osama helicopter yao moja ilipata ajali? Hapo wamevamia Nyumba ya mtu....vipi wakiwa wanapambana na Mrusi? Je tuwabeze kwa kuhitimisha kuwa marekani atapigwa na Mrusi?
Acha uvivu katika kutumia akili hata kwa mambo madogo kiasi hiki!
Hata marekani walipoenda kumuua Osama palikuwa ni peupe lkn helikopta yao moja kwa Bahati mbaya bawa moja liligonga ukuta na kusababisha ajali, kumbuka hii aparesheni ilikua silent na cri mno na hapakuwa na purukushani hata ya kurushiw jiwe. Jibu ni kwamba ajali haizuiliki mkuusawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.
sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.
sawa pale mmarekani walikuwa kwenye operesheni kali na ukizingatia walikuwa kwenye nchi ya watu.
sasa urusi meli ya ujajusi inaenda kugonga meli ya mizigo baharini ambapo ni kweupe na hakuna mtu ambaye alikuwa anafukuzana naye.
huo ni uzembe ulio pitiliza.