Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

Urusi yashambulia ISIS kwa makombora mapya kabisa

Mnaamini hizo pangaboy zinaweza ingia uwanja wa vita bila kulipuliwa na makombora ya kisasa yanayofuata moshi wa engine.
 
Mkuu Israel wale hawanaga simile wale ukirusha hata baruti ikatua kwenye ardhi yao lazima walipize tena hawachukui hata mda. Half kingine Israel ina kombora linaloweza kufika Pyongyang.
Israel wana kombora linaitwa Jericho III(ICBM) Range yake ni 11,500km. Huku umbali toka Israel had Korea ni 8038km. Hvyo Israel inaweza kupiga popote pale ndani ya North korea.
Hata Korea anauwezo wa kupiga popote pale ndani ya Israel, ivi jiulize kati ya Israel na USA nani ni super power ukipta jibu jiulize why marekani afyata kuishambulia korea
 
Hata Korea anauwezo wa kupiga popote pale ndani ya Israel, ivi jiulize kati ya Israel na USA nani ni super power ukipta jibu jiulize why marekani afyata kuishambulia korea
Hawa Israel ni kwenye tech ni humbwa sana asikudanganye mtu.. Israel sipawendi ila N.Korea nawapenda ila wakijaribu tu hawa israel wanakinukisha.. N.korea anaweza arushe kombora na lisitue kwenye ardhi ya Israel...

Waulize Wapalestina wakwambie mziki wa hawa Israel
 
Mkuu Israel wale hawanaga simile wale ukirusha hata baruti ikatua kwenye ardhi yao lazima walipize tena hawachukui hata mda. Half kingine Israel ina kombora linaloweza kufika Pyongyang.
Israel wana kombora linaitwa Jericho III(ICBM) Range yake ni 11,500km. Huku umbali toka Israel had Korea ni 8038km. Hvyo Israel inaweza kupiga popote pale ndani ya North korea.
Jericho III ICBM.Naielewa sana hii kitu.walianza kutengeneza haya makitu 1963,walianza na jericho I.Hii haikuwa ICBM ilikuwa IRBM(Intermediate Range Balistic Missile).Wakaendelea na Jericho II miaka ya 70s,Pia ilikuwa IRBM.Naona 2011 ndo walitoka Jericho III ICBM.Ina uwezo wa kubeba hadi 3 Thermoniclear warhead.
Hawa jamaa wako mbali sana kwenye military Tech.
 
Hawa Israel ni kwenye tech ni humbwa sana asikudanganye mtu.. Israel sipawendi ila N.Korea nawapenda ila wakijaribu tu hawa israel wanakinukisha.. N.korea anaweza arushe kombora na lisitue kwenye ardhi ya Israel...

Waulize Wapalestina wakwambie mziki wa hawa Israel
Afadhali umesema ukweli.Hii Tech NK anayojaribu sasa hivi,Israel alianza toka 1963 alipotest Jericho I ballistic missile.Sasa hivi ana Jericho III imetulia tu.Hawa jama ni nuksi asikwambie mtu.Putin mwenyewe kuna siku alisema,"Kuweni kama Israel,They fight until the End.Do not give up".
 
Afadhali umesema ukweli.Hii Tech NK anayojaribu sasa hivi,Israel alianza toka 1963 alipotest Jericho I ballistic missile.Sasa hivi ana Jericho III imetulia tu.Hawa jama ni nuksi asikwambie mtu.Putin mwenyewe kuna siku alisema,"Kuweni kama Israel,They fight until the End.Do not give up".
Israel habari nyingine ile
 
Back
Top Bottom