Recent content by suleimans

  1. S

    Jua haki yako ukiwa barabarani ukishikwa na trafiki.

    Hivi faini bado ni shilingi 20,000 au ni 30,000 kwa kosa moja?
  2. S

    Mke wa mtu ananitaka nifanyaje..?

    Freema wewe kumbe unadhani afanye nini? Una dalili za kumsapoti mwanamke mwenzio sio? Kijana achana na mke wa mtu ni dhambi kubwa isitoshe mumewe ni kama mlemavu akijua atalia sana maana hawezi kukufanya chochote na dhambi itakuwa maradufu
  3. S

    Msemakweli akamatwa, ahojiwa Polisi; aachiwa

    Lakini hili swala la msema kweli inafaa tuingie mwituni
  4. S

    Coca-Cola Kwanza Ltd: Whats going on?

    Jamani kwani kuna nini tena? Mi niliwahi kufanya kazi pale Bonite Botllers Moshi kwenye kampuni ya soda za Cocacola ya huyu mzee hapakuwa na matatizo yoyote wafanyakazi wote walikuwa happy.
  5. S

    Ni kikongwe lakini!!!!!!!!!!!

    Ila kweli amekula chumvi nyingi angewaachia mambo hayo ya matangazo wakina Lulu
Back
Top Bottom