Recent content by sulai

  1. sulai

    Nafasi za kazi kampuni ya kuzuia ujangili (kwa waliopitia jkt tu)

    ina maana sisi tuliopitia mafunzo ya mgambo hatuna nafasi? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. sulai

    Putin invites Merkel to Russia over Iran crisis

    Yohana kwasasa anawabatiza kwa moto watendaji wake Sent using Jamii Forums mobile app
  3. sulai

    Putin invites Merkel to Russia over Iran crisis

    Yohana kwasasa anawabatiza kwa moto Sent using Jamii Forums mobile app
  4. sulai

    Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

    yapo makao makuu jeshi pale upanga mgambo ni kamandi ambayo ipo ndani ya jwtz
  5. sulai

    Rais Magufuli amteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT, aliyekuwepo apelekwa Mgambo

    yapo Ngome makao makuu ya jeshi jwtz upanga mgambo ni kamandi ya jwtz kama unavyoona jkt
  6. sulai

    Mafunzo ya mgambo na ajira ya malipo madogo

    mafunzo ya jkt na ya mgambo yakoje utafauti? ikiwa we mwenyewe sheria haisemi kule unapokwenda kujitolea sio kama utapewa ajira hapana ata form za jkt hazina sehemu ya kusema kama ukimaliza mafunzo ni kwamba eti utaajiriwa sio kweli alafu kuhusu mafunzo wote tunapewa na jwtz sasa tafauti iko wapi?
  7. sulai

    Mafunzo ya mgambo na ajira ya malipo madogo

    Hivi kwanini Serikali huwa wanapotezea sana askari mgambo katika upatikanaji wa ajira serikalini? Unakuta kijana amefanya mafunzo ya mgambo tena kwa uzalendo wake kabisa lakini ajira zinapotoka za vyombo vya ulinzi wanawapatia vijana wa JKT tu lakini waliopitia mafunzo ya mgambo huwa hata...
  8. sulai

    Msaada wa mbinu za kuachana na mpenzi wako mnayefanya kazi pamoja

    Tuchki, Nakushauri kama unafanya kazi karibu basi jitahidi uombe uhamisho uwe nae mbali uyo jamaa na ulivyosema eti ni handsome sasa hapo unatarajia nini ebu fanya omba uhamisho wakupeleke kwenye kituo cha kazi kingine
  9. sulai

    Tunaotafuta Kazi Tanzania Intelligence and Security Service (TISS) Tukutane Hapa

    watu mnajadili ajira za tiss naona hatuna ishu za kufanya
  10. sulai

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    we mjinga kweli unafikiri walinzi takukuru hawana hela? wana mkwanja wa kutosha tu
  11. sulai

    Kumekucha: Mizigo yote ya DRC kupitia Mombasa Kenya, Tanzania yaendelea kusomeshwa namba

    Somalia tu askari wa kenya wanakufa sana leo uwapeleke congo si ndiyo wanapigwa uku na kule
  12. sulai

    Kumekucha: Mizigo yote ya DRC kupitia Mombasa Kenya, Tanzania yaendelea kusomeshwa namba

    kwani unafikiri uyo mchina anatoa msaada kwa nchi ya kenya bure ebu angalia zambia sasahivi airport yao na shirika la umeme la kwao linamilikiwa na serikali ya china
Back
Top Bottom