Recent content by Suguta Malanga

  1. S

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Mungu akusaidie kwa ujinga ulionaona . Nadhani wewe sio Mtanzania na hata hao maprofesa huwajui kama hujui kitu ni heri ukae kimya . mungu akusaidie .
  2. S

    Professor Muhongo aionya serikali

    Huyu sio Muhongo kuna mtu katengeneza akaunti , Hakuna RFA ya kiswahili tafadhali msichafue watu . Muhongo hajawa hivyo hata siku moja.
  3. S

    Ili ripoti ya mchanga wa Dhahabu iaminiwe, ingeandaliwa na Taasisi huru sio maafisa wa serikali!

    Wewe ni muongo kupindukia nenda kwenye soko la dunia angalia bei ya dhahabu kwa soko la dunia na sio kukaa humu kutunga ujinga.
  4. S

    Tanzania ni nchi pekee inayopika data za idadi ya watalii

    Mtaacha lini kutumika , mnalipwa nini kukaa kusema uongo siku nzima? Angalieni Mungu anawaona . Mbona taarifa sahihi zipo , Watalii wakiingia nchini wanataja dhumuni la kuingia nchini na linawekwa kwenye rekodi .
  5. S

    Kama ni kweli basi mabenki yatafungwa na uchumi kudorora kuakisi umasikini zaidi

    Ni uzishi huu , Benki kuu ndiyo itakuwa inaingiza Fedha za watumishi kwenda mabenki mengine yanayotumiwa na Taasisi sasa mtu unakuja na hadithi zako za kutunga hapa.
  6. S

    Rais Magufuli mtafute Dr. Joash Kabete akushauri kuhusu migodi, utapasuka kichwa

    Joash kabete yupo south Africa na hana shiida anakuja mara nyingi Tanzania.
  7. S

    Itazame safu ya bodi na menejimenti ya ACACIA Mining Tanzania kisha utaelewa tatizo liko wapi

    wewe ni muongo na kama hujui kitu nyamaza migodi hii imenza uzalishaji miaka ya 2004 hao unawataja walikuwepo madakani huna data usiongee please mikataba hii ni ya miaka ya 90 huko usichume dhambi .
  8. S

    Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

    Hawajazungumzia makinikia ya Copper bali imezungumzia makinikia ya dhahabu kwenye ripoti zao , sasa kwenye makinikia wanatoa dhahabu, shaba, zinc , platnum, silver, Fe na madini mengine
  9. S

    Copper Smelters around the World - Capacity less or equal to 100,000 tons per year

    Onyx hajui lolote anazungumza porojo tu atofautishe makinikia ya dhahabu na copper ndio atapata jibu.Kwenye dhahabu kuna copper Sulphide(Chlcopyrite) ambayo imechanganyika na dhahabu , sasa ndiyo technology inatumika kutenganisha ili upate dhabu peke yake na copper na elements zingine peke yake.
  10. S

    Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Hivi huyu Kafumu si ndiye aliyetengeneza Mikataba mibovu na nchi mpaka leo inaendelea kulia maumivu?. Pia hivi ni kila mgodi uliruhusiwa kupeleka Concerntrate(Makinikia) zake nje?. Nilichosikia ni Mgodi wa Buzwagi pekee ndio uliopewa kibali cha kusafirisha makinikia nje lakini hawa jamaa...
  11. S

    Madhara makubwa ya kumtisha Rais wa Nchi!

    Unasema watu wa sasa sio kama watu wa zamani ndio maana mmenunuliwa na watu wa madawa ya kulevya ili muangamize taifa . Watanzania tumekuwa watu wa ajabu sana kushabikia hata maovu, angalieni Mungu anatuona.
  12. S

    Bunge limetangaza vita dhidi yetu, wananchi tumelala

    Hivi kudhalilisha bunge na kutetea wauza unga lipi ni kosa kubwa tuache siasa tunaliangamiza Taifa kwa kuendekeza siasa.Hivi wabunge wana watoto kweli , wanajua madhara ya dawa za kulevya kweli. , sawa na Mungu anawaona adhabu ataitoa kwa watoto wenu baada ya kufurahia maangamizi wayapatayo...
  13. S

    Barua ya TANESCO hii Hapa kwenda EWURA na Wizara ya Muhongo; Muhongo na Bosi Wako Muogopeni Mungu!

    Nawashamgaa sana mmegeuza jamii forum kama sehemu ya ofisi za serikali kuja kumwaga taarifa za serkali. sasa mkiadhibiwa mtasema serikali imewaonea . Subirini muone .
Back
Top Bottom