Rais Magufuli mtafute Dr. Joash Kabete akushauri kuhusu migodi, utapasuka kichwa

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,037
9,953
Kuna mtanzania maalamu wa migodini anafanyakazi Canada anaitwa Dr.Joash Kabete huyu jamaa ndio wazungu wanamtegemea kuwaambia wachimbe vipi na wapi dhahabu duniani, mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi kama Rais wa utafiti na uwekezaji wa anglo America. Huyo atakushauri vizuri sana hawa wengine njaa tu watakuzingua hata ukiwaambia wachimbe kokoto hawawezi.

kwa mbali unaweza mtumia mzee mmoja anaitwa Rweyemamu nimefanyanae kazi Zambia na Urusi ni mzuri sana kwenye masuala ya migodi anaweza kukushauri vyema pia. Pia yupo profesa mmoja yuko Swiden ni mshauri wa kiwanda cha aluminium cha Volvo Kikwete anamfahamu waliwahi kukutana Sweden kwenye kongamano. Wengine baba ni pasua kichwa umeona pale bandarini kila mtu anaongea lwake wanajifanya hawana habari na mchanga wakati nyaraka zina sahihi zao na makontena yana nakiri zao.
 
  1. eeehhhhh....unacheza wewe...yani aache kuwa mtiifu kwa hao wanaomlipa madolali aje kuwa mtiifu kwa watanzania...kwani uliambiwa hao waliosaini hii mikataba siyo wasomi?....tena huyo yuko Canada home country ya ACACIA...unacheza wewe...unataka tulishwe matango pori...isitoshe wale wengine waliorudi kutumikia taifa kwa sasa wako wapi?
 
Mh.Rais alisema ataunda timu ya wataalam ,ngoja tusubiri huenda huyo Kabete na Rweyemamu wakawemo kwenye timu mojawapo katiya zile mbili , visible team of professionals or invisible team of professionals.
 
Rweyemamu yupo hapo Shanta mining masaki huyu yuko karibu zaidi na amewahi kuwa mwajiriwa wa barrick kwa hiyo ataweza kusaidia vizuri sababu ana picha halisi ya hao acacia
 
Kuna mtanzania maalamu wa migodini anafanyakazi Canada anaitwa Dr.Joash Kabete huyu jamaa ndio wazungu wanamtegemea kuwaambia wachimbe vipi na wapi dhahabu duniani, mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi kama Rais wa utafiti na uwekezaji wa anglo America. Huyo atakushauri vizuri sana hawa wengine njaa tu watakuzingua hata ukiwaambia wachimbe kokoto hawawezi.

kwa mbali unaweza mtumia mzee mmoja anaitwa Rweyemamu nimefanyanae kazi Zambia na Urusi ni mzuri sana kwenye masuala ya migodi anaweza kukushauri vyema pia. Pia yupo profesa mmoja yuko Swiden ni mshauri wa kiwanda cha aluminium cha Volvo Kikwete anamfahamu waliwahi kukutana Sweden kwenye kongamano. Wengine baba ni pasua kichwa umeona pale bandarini kila mtu anaongea lwake wanajifanya hawana habari na mchanga wakati nyaraka zina sahihi zao na makontena yana nakiri zao.
Wazt watamkwamisha tu kama walivyomkwamisha Dr. wa Moyo Ndugu Masawe mpaka mauti yakamkuta, Miafrica ndivyo tulivyo.
 
  1. eeehhhhh....unacheza wewe...yani aache kuwa mtiifu kwa hao wanaomlipa madolali aje kuwa mtiifu kwa watanzania...kwani uliambiwa hao waliosaini hii mikataba siyo wasomi?....tena huyo yuko Canada home country ya ACACIA...unacheza wewe...unataka tulishwe matango pori...isitoshe wale wengine waliorudi kutumikia taifa kwa sasa wako wapi?
Mtoa mada kasema amtafute au awatafute watoe ushauri. Hata ushauri anashindwa kweli?
 
Nikiruhusiwa kuchenjua huo mchanga nitajenga kiwanda Kahama haraka sana. Sioni kitu kigumu hapo
 
Kuna mtanzania maalamu wa migodini anafanyakazi Canada anaitwa Dr.Joash Kabete huyu jamaa ndio wazungu wanamtegemea kuwaambia wachimbe vipi na wapi dhahabu duniani, mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi kama Rais wa utafiti na uwekezaji wa anglo America. Huyo atakushauri vizuri sana hawa wengine njaa tu watakuzingua hata ukiwaambia wachimbe kokoto hawawezi.

kwa mbali unaweza mtumia mzee mmoja anaitwa Rweyemamu nimefanyanae kazi Zambia na Urusi ni mzuri sana kwenye masuala ya migodi anaweza kukushauri vyema pia. Pia yupo profesa mmoja yuko Swiden ni mshauri wa kiwanda cha aluminium cha Volvo Kikwete anamfahamu waliwahi kukutana Sweden kwenye kongamano. Wengine baba ni pasua kichwa umeona pale bandarini kila mtu anaongea lwake wanajifanya hawana habari na mchanga wakati nyaraka zina sahihi zao na makontena yana nakiri zao.
Joash kabete yupo south Africa na hana shiida anakuja mara nyingi Tanzania.
 
Mnajihangaisha bure, mzee kasema hawezi kushauriwa na huu umbea wa mitandao, kwahiyo nyamazeni kimya muwe teyari kwa lolote litakaloamuliwa.
 
Kuna mtanzania maalamu wa migodini anafanyakazi Canada anaitwa Dr.Joash Kabete huyu jamaa ndio wazungu wanamtegemea kuwaambia wachimbe vipi na wapi dhahabu duniani, mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi kama Rais wa utafiti na uwekezaji wa anglo America. Huyo atakushauri vizuri sana hawa wengine njaa tu watakuzingua hata ukiwaambia wachimbe kokoto hawawezi.

kwa mbali unaweza mtumia mzee mmoja anaitwa Rweyemamu nimefanyanae kazi Zambia na Urusi ni mzuri sana kwenye masuala ya migodi anaweza kukushauri vyema pia. Pia yupo profesa mmoja yuko Swiden ni mshauri wa kiwanda cha aluminium cha Volvo Kikwete anamfahamu waliwahi kukutana Sweden kwenye kongamano. Wengine baba ni pasua kichwa umeona pale bandarini kila mtu anaongea lwake wanajifanya hawana habari na mchanga wakati nyaraka zina sahihi zao na makontena yana nakiri zao.


Mm mwenyewe naweza nakamshauri vzuri tu rais na hii Biashara ya uchimbaji wa Madini tukaifanya na wawekezaji kwa faida ila huyu bwana hashauriki. Anadhani unajua kila kitu kumbe bure Kabisa.
 
Mm mwenyewe naweza nakamshauri vzuri tu rais na hii Biashara ya uchimbaji wa Madini tukaifanya na wawekezaji kwa faida ila huyu bwana hashauriki. Anadhani unajua kila kitu kumbe bure Kabisa.

Kwani biashara hii isifanywe na Watanzania au wawekezaji wa Kitanzania. Kweli utumwa uliathiri akili zetu kiasi kila kitu tunategemea na kuwataka wawekezaji!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwani biashara hii isifanywe na Watanzania au wawekezaji wa Kitanzania. Kweli utumwa uliathiri akili zetu kiasi kila kitu tunategemea na kuwataka wawekezaji!


Wawezekaji wanaweza kuwa watanzania pia mkuu...nilivyosema wawekezaji sikumaanisha ni wale tu wanaotoka nje mkuu
 
Kuna mtanzania maalamu wa migodini anafanyakazi Canada anaitwa Dr.Joash Kabete huyu jamaa ndio wazungu wanamtegemea kuwaambia wachimbe vipi na wapi dhahabu duniani, mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi kama Rais wa utafiti na uwekezaji wa anglo America. Huyo atakushauri vizuri sana hawa wengine njaa tu watakuzingua hata ukiwaambia wachimbe kokoto hawawezi.

kwa mbali unaweza mtumia mzee mmoja anaitwa Rweyemamu nimefanyanae kazi Zambia na Urusi ni mzuri sana kwenye masuala ya migodi anaweza kukushauri vyema pia. Pia yupo profesa mmoja yuko Swiden ni mshauri wa kiwanda cha aluminium cha Volvo Kikwete anamfahamu waliwahi kukutana Sweden kwenye kongamano. Wengine baba ni pasua kichwa umeona pale bandarini kila mtu anaongea lwake wanajifanya hawana habari na mchanga wakati nyaraka zina sahihi zao na makontena yana nakiri zao.

Shida unataka kuongea na Rais wa nchi Kwenye mitandao ya kijamii. Habari Kama hii ungeipeleka kwake kwa utaratibu mzuri si anaweza kuipokea? Sasa humu ndugu unamwaga mawazo mazuri namna hiyo? Sasa hii ndiyo shida! Atakusikia saa ngapi!
 
Back
Top Bottom