Kwanza nitoe pongezi kwa serikali ya JMT kwa juhudi na hatua wanazochukua kwenye kukabiliana na ugonjwa huu wa Covid-19.
Mchango wangu kwa leo utaangazia sekta ya elimu.
Kutokana na kuwa wanafunzi walirudishwa nyumbani ikiwa ni hatua ya kuzuia au kupunguza maambukiki ya ugonjwa huu. Na...
Ukitaka mgonjwa asipone mapema ni kumwambia kila mara kuwa yeye ni mgonjwa. Ni sawa na kutaka kumkwamua mnyonge kwa kumuita na kumuaminisha kuwa yeye ni mnyonge pale atakaposhindwa kujikwamua ni Dhahiri ataendelea kwa kuwa ataamini unyonge ndio uhalisi wake
Ninaposema viongozi hawatakiwi watumie...
Heri ya pasaka kwa wote waamini na wasioamini.
Moja ya kauli ambayo inaendelea kumuweka mwananchi katika box la ujinga, utumwa, utegemezi na umasikini ni kauli ya kuitwa wanyonge. Mara nyingi tunawasikia viongozi wakijinasibu kuwa wao ni viongozi wa wanyonge, kiukweli huwa nashindwa kuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.