Karibuni Open university of Tanzania

Karibuni Open university of Tanzania

Umechemka wewe ndugu yangu, vijana hamfuatilii utaratibu vizuri au kufikia watu sahihi wa taarifa kusuhu taaluma husika alafu nikwambie tu kijana kwa wanaochukua foundation pia hawako serious sana kujituma kusoma wanafeli wengi sana na kudrop out. Vijana wa leo tusome na kuwa serious maisha sio simple kama unavyoongelea ubovu wa system ya elimu hivyo!!
mkuu vipi kuhusiana na foundation ni jumla ya course ngapi kwa mwaka?
 
Nimefanya application Out July 1 mwaka huu nitegemee kujibiwa lini
 
Hivi matokeo lini?
matokeo rafiki nafikiri bado. maana wakishasahihisha kuna kuhakiki ndani ya idara na vitivo na baadaye watahini wa nje ndio sasa yapelekwe hurufgenzi ya mitihani ku upload na kupublish ila hautafika mwisho wa mwezi huu. iliwale walikamatwa waweze kufanya ODEX. Vuta subira
 
matokeo rafiki nafikiri bado. maana wakishasahihisha kuna kuhakiki ndani ya idara na vitivo na baadaye watahini wa nje ndio sasa yapelekwe hurufgenzi ya mitihani ku upload na kupublish ila hautafika mwisho wa mwezi huu. iliwale walikamatwa waweze kufanya ODEX. Vuta subira
Poa mkuu nasbiria
 
just ni PM IN BOX yakitoka tu nitakwambia maana hapa kumbe nina mdau +ve!!
 
MKUU

Maarifa , NAOMBA USHAURI ..."HIVI WALE WA FOUNDATION COURSE WALIO KAMATWA KWENYE BAADHI YA MASOMO ,WATAKAPOFANYA PEPA LA MWEZI WA NANE ,JE WANAWEZA APPLY HATA KWENY ROUND YA MWISHO YA TATU , AU HAPO HAPO THEN WATAOMBA TRANSFER MWEZI WA 11 ,AU?
 
Ile paper ulikamatwa pole ila foundation ni ngumu jaman hasa ile geo,language na CS,na history duu cna hamu na ile koz
MKUU

Maarifa , NAOMBA USHAURI ..."HIVI WALE WA FOUNDATION COURSE WALIO KAMATWA KWENYE BAADHI YA MASOMO ,WATAKAPOFANYA PEPA LA MWEZI WA NANE ,JE WANAWEZA APPLY HATA KWENY ROUND YA MWISHO YA TATU , AU HAPO HAPO THEN WATAOMBA TRANSFER MWEZI WA 11 ,AU?
 
MKUU

Maarifa , NAOMBA USHAURI ..."HIVI WALE WA FOUNDATION COURSE WALIO KAMATWA KWENYE BAADHI YA MASOMO ,WATAKAPOFANYA PEPA LA MWEZI WA NANE ,JE WANAWEZA APPLY HATA KWENY ROUND YA MWISHO YA TATU , AU HAPO HAPO THEN WATAOMBA TRANSFER MWEZI WA 11 ,AU?
YES, inawezekana kabisa. maana matokeo ya mwezi wa 8 huwa in two weeks yametoka
 
Kwa mtu ambae hakupata principal pass, anaweza soma Foundation? Inachukua muda gani?
 
Vipi mkuu... Mna kozi ya psychollogy and counselling level ya degree au masters?
 
Back
Top Bottom