[emoji16][emoji16] ujinga ulioenda shule,....
Hakuna code Wala Unicode hapa Ni kikundi fulani Cha watu wamekaa na kuandaa hili bandiko,
Kwa ufupi Ni kundi liliokuwa nyuma ya legacy ya jiwe,
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] tupu, yaani hata wanaomsikiliza huyo mama naona kichwani hsmnazo,
Hivi inakuaje siku ya demonrasia unaenda kuzungumza na wanawake,...? Siku ya wanawake alikuwa wapi?
Sijaona hoja yoyote umeweka kukataa Katiba Mpya
CCM hawataki katiba mpya maana wanaona itaweka rehani maslahi Yao, itapunguza nguvu ya Rais kuingilia mihimili mingine, itawaweka kando na wizi wa kura maana ndani yake Tume huru ya uchaguzi itakuwepo
Katiba mpya muhimu sanaaa ili kusaidia...
Ni upuuzi sana mkuu, hii hulka imeharibu Sana watu hata wenyewe TISS maana wanajiona watu special Sana japo wengi kwa Sasa mbumbu Ni wengi kuliko uhalisia
Ni kweli Kabisa,
Pale SUA wao wanatoa miaka mitatu na Ina deals Sana biological issues concerned in Environment,
Lakini kule Ardhi wao wanatoa miaka minne na wanadeals Sana na physical issues concerned in Environment,
SUA wao coarse zao nyingi zinajikita ktk biology mfano environmental...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.