Pale SUA wanatoa Bsc of Environmental science and management, ndani yake zipo coarse zinazohusuUnaweza fanya kazi sector gani ukisoma environmental science
Thanks Mr. Nimeona from TCU guide book SUA wanaoffer hiyo kozi kwa miaka mitatu na Ardhi minne inakuajePale SUA wanatoa Bsc of Environmental science and management, ndani yake zipo coarse zinazohusu
Environmental Impact Assessment ( tathmini ya mazingira)
Safety and health at work place
Mining basing in Environmental issues
Environmental law,
Meteorology ( Mambo ya Hali ya hewa)
N.k
Kwa ufupi utafanyakazi Nemc, OSHA, ofisi ya makamu wa Rais mazingira, viwandani km Afisa mazingira, makampuni hasa kuhusu ishu za mazingira,Sera na uhamasishaji, migodini, n.k
Ni kweli Kabisa,Thanks Mr. Nimeona from TCU guide book SUA wanaoffer hiyo kozi kwa miaka mitatu na Ardhi minne inakuaje
Ni kweli Kabisa,
Pale SUA wao wanatoa miaka mitatu na Ina deals Sana biological issues concerned in Environment,
Lakini kule Ardhi wao wanatoa miaka minne na wanadeals Sana na physical issues concerned in Environment,
SUA wao coarse zao nyingi zinajikita ktk biology mfano environmental biology, microbiology, Toxicology, Waste management n.k
Ardhi wao wapo physical Sana mfano waste management jinsi ya kutunza taka huko unasoma hesabu na physics yakutosha lkn SUA utasoma chemistry na biology sana
Ni kweli Kabisa,
Pale SUA wao wanatoa miaka mitatu na Ina deals Sana biological issues concerned in Environment,
Lakini kule Ardhi wao wanatoa miaka minne na wanadeals Sana na physical issues concerned in Environment,
SUA wao coarse zao nyingi zinajikita ktk biology mfano environmental biology, microbiology, Toxicology, Waste management n.k
Ardhi wao wapo physical Sana mfano waste management jinsi ya kutunza taka huko unasoma hesabu na physics yakutosha lkn SUA utasoma chemistry na biology sana
Hiyo ya Ardhi ni ENGINEERING (Environmental Engineering) na hakuna engineering inasomwa miaka 3 kwa mtu wa form6.Thanks Mr. Nimeona from TCU guide book SUA wanaoffer hiyo kozi kwa miaka mitatu na Ardhi minne inakuaje
Kijana ya sua pia ina hesabu na engineering kama masomo kwa kiwango kikubwa kwa miaka yote mitatu then chemistry na bios za kutosha mzee tembelea prospectus ujionee 😂😂😂 Kama hupendi hesabu na physics environmental science and management ya sua usihangaikeNi kweli Kabisa,
Pale SUA wao wanatoa miaka mitatu na Ina deals Sana biological issues concerned in Environment,
Lakini kule Ardhi wao wanatoa miaka minne na wanadeals Sana na physical issues concerned in Environment,
SUA wao coarse zao nyingi zinajikita ktk biology mfano environmental biology, microbiology, Toxicology, Waste management n.k
Ardhi wao wapo physical Sana mfano waste management jinsi ya kutunza taka huko unasoma hesabu na physics yakutosha lkn SUA utasoma chemistry na biology sana
TUpo veta tayari mkuuKiu halisia ajira hamna kwenye hiyo kozi tafuat koz nyingine