Recent content by stubborn wa Njombe

  1. S

    SoC01 Mvuta sigara Tanzania hutumia kiasi cha Tsh Milioni 16.9 hadi Tsh Milioni 42.3 kununua sigara kipindi chote cha maisha yake

    Nimeona takwimu matumizi ya sigara umemuuliza muuzaji wa sigara! kwa nini hakumuuliza mvutaji wa sigarabkwa ajili ya kupata uhakika zaidi wa matumizi. Binafsi nilikuwa ninavuta sigara ila wingi wa uvutaji wangu ulitegeme sana mazingira . Nikiwa nipo kawaida tena Dar Es Salaama , ilikuwa...
  2. S

    Muigizaji Sophia Kanumba yuko anasoma Form 5 Nchini Australia

    Hii habari bila picha wengine maudhui yake itatukalia kushoto.
  3. S

    Kumbe hata mama yake Zitto ni kilema?!

    Alikuwa mlemavu na sasa yu mavumbini .
  4. S

    Asanteni JF kwa ushauri, tayari nimepata gari

    Miaka mitatu iliyopita bado unategemea kila kitu kitakuwa vile vile tu mkuu?
  5. S

    Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

    Mara ya kwanza nilihonga 350,000/- cash na simu ya Infinix by that time niliinunua 290,000/- . Then kwa mwingine nilikuja kuhonga kiwanja cha 3,500,000/- kiroho safi ila hawa wote tulishaachana . Funga kazi kwa huyu aliyenitunuku moyo wake nakukubali kuukimbia ujana wake kwa ajili yangu , yeye...
  6. S

    Kinachomtesa Rais Samia ndicho kilimtesa Mzee Mwinyi

    Wanaoenda mbugani ni wanyama kwa hiyo Royal tour ingezinduliwa mbugani. Ni kazi sana kuwaelewa team Magufuli,
  7. S

    Rafiki yangu wa karibu anatakwa kimapenzi na mpwa wake

    Hata mimi nimeishia hapo mkuu. Nikakosa hamu ya kuendelea kusoma.
  8. S

    Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

    Nadhani wakitangaza zabuni TICTS wasipofanyiwa figisu watachukua . Utendaji wao ni wa kutukuka kabisa. Ingawa mapungufu hayakosekani ila sio kama upande wa TPA.
  9. S

    Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

    Mkuu , upande wa TICTS wanafanya kazi very professional sio kama huku kwa wazaramo TPA. Swala la mapato ndio wanatakiwa waangalie kwa ukaribu zaidi mifumo ya TICTS imekaa vizuri kuliko TPA . Wabadilishe tu mifumo yao ya malipo inaleta lope hole za watu kupiga pesa. Ndio maana wanapaita shamba la...
  10. S

    Kesi ya Ole Sabaya ni kiashiria cha chuki na udhaifu mkubwa iliyopo ndani CCM tofauti na CHADEMA

    Kwa hiyo wewe unataka uaminishwe ndio ukubali kwamba Sabaya alikuwa jambazi? Sabaya amepelekwa mahakamani ili kuthubitisha uhalali wa uhalifu wake, hiyo kamati ya maadili ya CCM sio mahakama kusema kuwa wangemkuta na hatia ya ukosefu wa maadili angehukumiwa kifungo. Hivyo kama ulikuwa na...
  11. S

    Kabla ya tume huru ya Uchaguzi, Tanzania twende kujifunza Demokrasia Nchi ya Mauritius

    Tanzania tunaanzaje kuwazidi wakenya kweye rank za democracy, Siamini huyu aliyeadaa alitumia kigezo gani Tanzania kumzidi Kenya .
  12. S

    Bila kutaja miaka yako, tuambie una umri gani

    Mkuu unamaanisha imezaliwa 2000?????
  13. S

    Bila kutaja miaka yako, tuambie una umri gani

    Pilau la 200 kwa mama Haisa miaka hiyo nipo primary school.
  14. S

    Makonda: Baadhi ya Askari Polisi jijini Dar wanawalinda wafanyabiashara matapeli wanaodhulumu mali za watu

    Kila nabii na zama zake, Bashite zama zake zilishapita . Unalalamika kama sisi tu sasa hivi.
Back
Top Bottom