MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,425
Hafanyi kazi airbnb
nakaziaPICHA
PICHA
PICHA
Yuko huko kitambo sana tangu chekecheaWakuu Habari ya Asubuhi na Poleni na Hekaheka za Ashura Wa Tabata.
Niko Nasikiliza Ufm Radio ya Azam Media, Anahojiwa Msanii Wa Maigizo Anaitwa Sophia Kanumba.
Binti Huyo Anadai aonekani Nchini Kwa Sababu Yuko Nchini Australia anasoma Kidato Cha 5.
Namskia Hapa Hata lafudhi yake imebadilika anaongea kiswahili Cha kizungu na pia anaongea kiswahili Huku anachanganya na kingereza.
Tumtakie Binti Sophia Kanumba masomo mema Huko Australia wakuu
Acha urongo mkuu otherwise unamiksi madesa hapa, huyo mtoto kwao mambo safi, na anaishi Australia kitambo tu, huko kuomba hela kwenye mitandao kamuomba naniwasanii wa bongo kusema uongo ndio wanaona usanii..Huyu dada majuzi tu alikuwa anaombaomba hela watu kwenye mitandao
Huko hata bila kuwa vizuri ukiwa na bahati ukipata scholarship unaenda tu.Dogo kwao wapo vzr, muda mrefu alikua anapost yupo nje.
We unaongea lumbutugha gani hii?😀😀Namlombotove
Hili la upaedophile wa jamaa huwa haliongelewi. Ingekuwa kwa wenzetu angekuwa, 'Cancelled.'Na huyu ana bahati yule paedophile Kanumba kafa. Asingemuacha salama, amuulize yule mwenzake.
Hili la upaedophile wa jamaa huwa haliongelewi. Ingekuwa kwa wenzetu angekuwa, 'Cancelled.'
Wengine ni maaskari sugu alishatoka kazini asubuhi anakuwa nyumbani anapunguza usingizi na kutafuta nguvu za usiku tena.Mnapata wapi muda wa kusikiliza umbea asubuh yote hii
khaaaahwasanii wa bongo kusema uongo ndio wanaona usanii..Huyu dada majuzi tu alikuwa anaombaomba hela watu kwenye mitandao