Wadau habari zenu, katika harakati za kujitafuta kama kijana nimepata kiasi flan cha pesa nataka kujenga. Bajeti ya kiwanja ni 4 M to 5M.
Nahitaji kupata kiwanja maeneo hayo ya maili moja sababu ya ukaribu wa eneo nifanyapo kazi (mbezi mwisho) sababu nategemea kuanza ujenzi mwezi wa sita...
mwanzo ulikua demu wake tu, pengine alikua anajua atapiga na kusepa ila saiv umekua mke na mama wa mtoto wake hawezi kukuchukulia the same. As long as anaitafuna mbususu vizuri hivo vitu vingine havina maana tena.
Wakuu, nipo hapa kupata mawazo kuhusu hii biashara kwa watu ambao washawahi kuifanya au ambao wanaijua vizuri.
Kuna dogo yupo yupo tu hapa nyumbani kwaio nataka nimpe kazi kwa kufungua hili duka ili yeye awe analisimamia. Nataka kuanza kidogo kwa kufunga mzigo hapa hapa nchini, kwaio mtaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.