Recent content by Streptokinase

  1. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Fursa: Dereva bolt/uber wa gari anahitajika

    Anahitajika dereva mwenye leseni ya gari na mwenye account ya bolt aliye na uzoefu wa kuendesha bolt Dar es salaam. Gari iliyopo inatumia mfumo wa gas, malipo ni kwa hesabu ya siku sio ya mkataba. Aliye tayari anicheki Dm. ===== Update: Dereva amepatikana
  2. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Msaada Toyota rush inanipasua kichwa

    Wacheki vijana wanaitwa @motech_i wapo mwenge pale
  3. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Kuchapwa watoto kiasi hiki ni sawa?

    Dah hii mbaya sana tuikemee kwa pamoja
  4. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Fursa ya kushirikiana katika kutafuta Masoko ya Bidhaa zako

    Mkuu me nina mchele mwingi mbeya, nataka kuja kuuzia dar kwa jumla. Sihitaji kuwa na fremu huko nataka niwe nauleta nakuuza moja kwa moja, Kama wanavofanya mabibo kwenye soko la viazi pale. Vipi kuna hilo soko la mchele hapo dar?
  5. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

    July bei itashuka mkuu, sababu mavuno mapya ndio yataingia sokoni
  6. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Nakucheki whatsapp unitumie picha mkuu
  7. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Wekeza Milioni 7 upate Milioni 20 ndani ya miezi 6

    Mkuu tunaomba mrejesho
  8. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Mkubwa, me nahitaji apartment ya vyumba viwili bagamoyo road kuanzia mwenge hadi tegeta bajeti yangu 250k kwa mwezi naweza kupata?
  9. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Unapendekeza gari ipi kati ya IST, Runx, Ractis au Allex?

    Leo ndio naiona hii thread yangu. Ngoja nitoe mrejesho, kwanza nashukuru sana kwa ushauri wenu wakuu ulinisaidia sana katika kuniongoza kuchagua gari sahihi kwa matumizi yangu kipindi hicho. Niliupokea ushauri wenu nikauchakata kwa kuzingatia mahitaji yangu niliamua kununua RUN X, kwa kweli ni...
  10. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja kibaha maili moja

    Shukrani mkuu.
  11. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Kigamboni ni sehemu nzuri Sana kuishi Dar es salaam kwa sasa

    Vipi kuhusu mwasonga ni pazuri?
  12. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Natafuta kiwanja kibaha maili moja

    Wadau habari zenu, katika harakati za kujitafuta kama kijana nimepata kiasi flan cha pesa nataka kujenga. Bajeti ya kiwanja ni 4 M to 5M. Nahitaji kupata kiwanja maeneo hayo ya maili moja sababu ya ukaribu wa eneo nifanyapo kazi (mbezi mwisho) sababu nategemea kuanza ujenzi mwezi wa sita...
  13. Streptokinase

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya room 3, million 21.9

    Mkuu, kama hautojali maeneo hayo ulinunua kiwanja bei gani. Natamani sana kupata kiwanja kibaha maili moja hapo
  14. Streptokinase

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kunyonyana sehemu za siri kumetokeaje tokeaje? Kuna historia gani?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom