Wadau kuna Gari nataka kuagiza kutoka Japan lakini ajenti ameniambia litakuja na tairi mpya zikiwa zimepakiwa ndani ya gari, sasa swali langu ni kwamba, Je kuna ushuru wa ziada kwa zile Tairi zilizopakiwa ndani ukiacha ushuru wa Gari lenyewe?
Naomba ufafanuzi ili nisije kuingia matatani , Kimsingi naelekea CRDB kulipia gari kutoka kwa hawa SBT japan, Lakini najiuliza mbona wamenitumia commercial invoice badala ya Proforma invoice. Kuna mtu yoyote ashalipia gari kutumia hiyo commmercial invoice ?
Je, hawa jamaa ni waaminifu, maana...
Mara nyingi nimekua nikiagiza electronics components kupitia online platform kama alibaba, tatizo vifaa vinachukua mda mrefu kunifikia na kuchelewesha project zangu. Swali langu ni, ni je hapa dar kuna duka linalouza hizi adruino na components nyingine za electronics ukiachana na yale maduka ya...
Endelea kupambana tu mdau usikatishwe tamaa na michango ya wanajamvi. Chakukushauri jaribu kucheki na academic institutions za nchini au hata nje ya nchi nadhani watu wenye level ya PHD bado wanahitajika sana hasa kwenye kufanya tafiti mbalimbali.
Nashindwa kuelewa watu wanasapoti mambo ya kubebana wakati kila mara wamekua wakilia humu jukwaani wanakosa kazi sababu kuna watoto wa wakubwa wanabebwa kwa kujuana. jamani tusitetee huu ujinga just imagine ungepigwa chini wewe sababu huyo dada kamfanyia rafiki yake mazabe bado ungechukulia...
kwani una mda gani tokea uanze kupiga kazi na wachina, kama ushatengeneza connection za kutosha nakushauri nenda TRA huku ukipiga business zako taratibu, unaweza kutafuta kijana uka mtrain wewe ukawa msimamizi hii itakupunguzia majukumu bila kuathiri utendaji kazi wako serikalini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.