British SAS
Member
- Oct 19, 2017
- 60
- 146
HAYA NDIYO YALIYOSEMWA.
-Dada Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) alianza Kuwapongeza vijana wote wenye Uwezo wa Hali ya Juu waliweza Kufaulu saili zote.
-Mpaka Sasa Walioripoti hawajafika 400
-Wanasubiri Siku 14 zipite ndipo wawaite kwa kupigiwa Simu ama Email
-Sehemu ya Kukutania Itapangwa itawekwa Wazi hapo baadaye
-Hata kama hujapigiwa Simu ukisikia Kwa Wenzio kama Una ile Barua yenye Muhuri adimu iliyotoka Utumishi Uta takiwa Kuripoti
-Hapo ndo Mtapangiwa Vituo Vyenu na Kwenda Kulitumikia Taifa.
Ndo natoka hapa Posta naelekea pale walipokua wananipunja Salary.
Thread hii imeandikwa na
British SAS
NAKALA KWA,
Perry tax compliant
-Dada Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) alianza Kuwapongeza vijana wote wenye Uwezo wa Hali ya Juu waliweza Kufaulu saili zote.
-Mpaka Sasa Walioripoti hawajafika 400
-Wanasubiri Siku 14 zipite ndipo wawaite kwa kupigiwa Simu ama Email
-Sehemu ya Kukutania Itapangwa itawekwa Wazi hapo baadaye
-Hata kama hujapigiwa Simu ukisikia Kwa Wenzio kama Una ile Barua yenye Muhuri adimu iliyotoka Utumishi Uta takiwa Kuripoti
-Hapo ndo Mtapangiwa Vituo Vyenu na Kwenda Kulitumikia Taifa.
Ndo natoka hapa Posta naelekea pale walipokua wananipunja Salary.
Thread hii imeandikwa na
British SAS
NAKALA KWA,
Perry tax compliant