mgonjamichael
Member
- Oct 31, 2015
- 66
- 15
Kumbuka huyo mwl unayetaka adanganywe ni huyohuyo aliyekufundisha kupenga kamac kukufundisha kusoma kuandika na kuhesabu ndomaana ssa unaringa achakujikweza covzrKadanganye walimu wa shule ya msingi
Dereva wa polisi ni polisi hiyo ni kazi yake kuendesha na kukamata
Mshahara ni mmoja Tu wa kazi yake ya upolisi huo udereva ni kitengo Tu labda kama kina posho