Recent content by Storywriter

  1. S

    JamiiForums Tanzania Choo kinarudisha ndani kabla hata hakijatumika

    Asante mkuu. Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini asilimia kubwa ya watumishi wa kike katika ofisi za umma wana kibri, dharau na majibu ya nyodo?

    Mimi kuna mmoja nilimteua awe subordinate wangu ,jambo la kushangaza akaanza kunidharau hata Mimi ,nikampiga chini faster.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Awamu ya tano kulikuwa na Tundu Lissu Mmoja, awamu hii kuna akina Tundu Lissu 1000

    Huyu Mwambukusi ni nani?. Nimemsikia leo, anaonekana kuwa na kichwa kigumu kama Cha Lisu.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwa nondo zile za Lissu siioni Katiba Mpya!

    Hata Mimi nimeona. Lisu anaanza kurudi zama zile za shujaa wa Afrika.
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ajali zimekuwa nyingi, abiria paza sauti

    Imezuka tabia ya kijinga sana ya watu kushangilia mashindano ya hizi basi za abiria. Huu ni ushamba na ujinga na ni chanzo cha ajali nyingi tu. Mamlaka lazima zichukue hatua.
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini unakubali mwanao mpendwa afundishwe na watu unaowadharau na kuwapuuza?

    Wewe unajuaje michango ya hovyo ni ya walimu?, leta ushahidi hapa.
  7. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini unakubali mwanao mpendwa afundishwe na watu unaowadharau na kuwapuuza?

    Mkuu mimi nashangaa chuki, kejeli na dharau dhidi ya walimu imeongezeka sana siku hizi.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini unakubali mwanao mpendwa afundishwe na watu unaowadharau na kuwapuuza?

    Niambie sheria gani inayokulazisha umpeleke mwanao akafundishwe na hao walimu inaowaita vilaza?, Nitajie sheria ipi ya nchi? Nimeshauri kwamba kama hao walimu hawafai mpeleke mwanao akafundishwe na watu unaowaheshimu mbona wako wengi sana.
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini unakubali mwanao mpendwa afundishwe na watu unaowadharau na kuwapuuza?

    Siku za hivi karibuni kumezuka kasumba mbaya sana ya kudharau na kupuuza walimu. Watu wanaodharau walimu wamejiegemeza kwenye hoja kwamba walimu ni watu wanaolipwa mshahara duni, hivyo hawana hadhi katika jamii. Wapo watu walifika mahali wakesema, kazi ya bodaboda ni kazi yenye heshima kuliko...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Usichanganyikiwe na Dunia, mambo ndivyo yalivyo. Tuna Wanawake Malaika lakini hatuna Malaika wa Kike

    Mbona unaandika kama mfalme Suleiman au nabii Isaya.
  11. S

    JamiiForums Tanzania Bila aibu wala woga, CCM yaitangazia dunia kuwa hakuna Mtanzania mwenye uadilifu!

    Hizi tabia tunazo kweli. Lakini tunapaswa kuweka mifumo ya kuwadhibiti watu ili walete ufanisi.
Back
Top Bottom