Change your attitude ,change your life.wanaume wote sio saw a na wewe sio wa kwanza kuumizwa usipoteze mda kwa kuishi na negativity use your time wisely since it is limited there is no extra time.
You can do it just think positive ,ondoa over expectation and be real,don't be an easy girl .good...
Change your attitude change your life.hata ukishauriwa weee kama wewe hauko ready kuacha ni kazi buree
Zaid tafta kitu cha kukukeep busy concentrate more on your family development and productive activities.
Katika kutafta mwanamke wa kuishi nae usiangalie sana kasoma hadi level gani we check IQ na kama mnaendana na kuelewana pia kama anakuheshimu pia.
Uwezo wa kupambanua mambo mbalimbali ya kimaish usisahau.kila la kheri
Fatilia siku zake kwanza ujue je zilikuwa SKU za hatari?kama ndo hivyo subiri had masaa 72 yapite then akapime urine.hapo mtajua kama kanasa au LA.
Pia kuna vidonge vya uzazi wa mpango vya kuzuia but sikushauri atumie kabla hajazaa kwani vinaweza kumletea matatizo makubwa akaja kujutia baadae...
Cha muhimu ni kulet it go na kujifunza usirudie tena makosa.pia wadada usitoe mwili wako mapema hadi ujihakikishie mko kwenye serious and committed relationship.
Sex haimfanyi mwanaume awe committed jamani kuna vitu a part from sex anahitaji .
Watu wanaigiza sana siku hizi hasa wanawake.anafunga ndoa tu ili apate status kwenye jamii inayomzunguka hawajui kuwa maisha ya ndoa ni zaid ya status .
Tatizo lingine ni over expectation for both hasa wanawake na kutovumiliana kujua kwamba mwenzangu si mkamilifu wanafikiri kuachana ndilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.