Tatizo unachukulia mapenzi serious sana......utakufwa you know........hebu take it easy uone jinsi rahisi......try to have varieties you know.......only two.......mamamia........YOLO........Shauri yako.......
Kama tamaa yako ni kupata watoto tuu mbona simpo! Waweza kwenda hospital...watakupandikiza mbegu za kiume na utabeba mimba, hatimaye utapata mtoto/watoto.
Au katka madume wanaokutokea mkubalie mmoja, pimeni h.i.v, alafu zile cku za kutunga mimba jipeleke akakupe kibamia...usikwepeshe,. Baada ya wiki tatu, kapime kama una mimba. Kipimo kikionesha una mimbaaa, kata mawasiliano na aliyekupa mimba...endelea na maisha yako na usimwambi chochote kuhusu iyo mimba, BASI, TAMAA YAKO YA KUPATA WATOTO WAKO ITAKUWA UMEWINI. Na wanaume utawapotezea jumla. Nadhani nimekupa suluhu ya tamaa yako.
Mapenzi si kazi......
Una Maanisha Nini? Acha Kumdanganya Mwenzako,wewe Mwenyewe Ulikuwaga Unalia Kila Siku Ukitendwa,au Umesahau Nikukumbushe??
Preta hufai wewe ushauri gani huu lol
yawezekana wewe ndiyo huna hayo mapenzi ya dhati!
Nitafute pm
Wewe ni DHAIFU and there is no room for weak people in LOVE.....period.
Asante kaka.
Kwa umri huo wa miaka 32 una chance ya kupata hata watoto watatu. Tafuta mwanaume ambaye mnalingana au kumzidi kiumri ambapo utakuwa na nafasi ya kujiamini. Unaweza kufunga naye ndoa au hata kupata watoto naye. Suala hapo siyo kuzaa tu, kwa hiyo si kazi sana. Suala ni kwa nyote wawili kulea watoto wenu na ku determine future yao.Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.
Tatizo unachukulia mapenzi serious sana......utakufwa you know........hebu take it easy uone jinsi rahisi......try to have varieties you know.......only two.......mamamia........YOLO........Shauri yako.......
hahahaaaaaa.. YOLO
Nafaa bana.........sasa kama anachukulia serious mahusiano yenyewe haya ya siku hizi huoni atakufwa for them you know.........gadem mbululazzzz mazafantazzz..........