Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,423
- 8,367
Hili no jambo la kusikitisha sana. Ndoa siku hizi zinavunjika Sana tofauti na miaka ya nyuma. Tatizo liko wapi?
Nimesimuliwa kisa kimoja juzi,kuna jamaa amefunga ndoa mwezi Desemba,2014,ndoa hiyo imevunjika Januari hii. Mwanamke anadai hamtaki tena mumewe kwakuwa amepata mwanaume mwingine. Suluhu imeshindikana pamoja na kuhusisha viongozi was dini na ndugu wa pande zote mbili.
Nimesimuliwa kisa kimoja juzi,kuna jamaa amefunga ndoa mwezi Desemba,2014,ndoa hiyo imevunjika Januari hii. Mwanamke anadai hamtaki tena mumewe kwakuwa amepata mwanaume mwingine. Suluhu imeshindikana pamoja na kuhusisha viongozi was dini na ndugu wa pande zote mbili.