Recent content by STMB

  1. S

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya Mjini Ashirikiana na Mbunge wa CCM kuchukua Jimbo la Sugu

    Yan mpaka leo nyie mnawaza uchaguzi...wao wawaze uchaguzi na sisi tuwaze uchaguzi aaah wapi! Sugu na mwanjelwa ni watu tu na CCM and CHADEMA ni vyama 2...so KATIBA iz everything kwa sasa so hayo madudu,tukipata katiba bora..mifarakano kama hiyo itaisha
  2. S

    Rais wa Tanzania sio rais wa Tanganyika (Wazanzibar hamjui hili?)

    Mimi pia ni mtanganyika lakini siku hizi naitwa mdanganyika...mimi simjui na naogopa kuzungumzia,KUMBUKA MANENO YA BABA WA TAIFA ALISEMA "tukianza sisi kujitoa hatutakaa salama" SO INABIDI NIENDELEE KUDANGANYIKA na kusubiri kuongea kwenye katiba swala hilo
  3. S

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    I'm the man u fan not spectotor....Inaniuma kuona mpaka leo hatuna kiungo cha kutumainiwa...Where r u shneijder,leo kama kawa pointi 3,then tuone kama city watapumua?
  4. S

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    I'm the money u fan not spectotor....Inaniuma kuona mpaka leo hatuna kiungo cha kutumainiwa...Where r u shneijder,leo kama kawa pointi 3,then tuone kama city watapumua?
  5. S

    Kafulila kupiga magoti kuomba asamehe kwa Mbatia inatufundisha nini?

    Ni tatizo binafsi la uropokaji,hata kama Mbatia alikuwa na tatizo alitakiwa akaongelee kwenye kamati kuu ya chama sio kutaka kuonekana na kusikika wakati ana nyongo ndogo.....
  6. S

    WaTZ Mbona hampendi wakenya?

    Pamoja na small number ya wasomi tulonayo...but ktk hali halisi inaonyesha Mtz mmoja msomi ni sawa na wakenya 2...wakenya hupenda kujifanya wanajua hata wasivyojua na ndio maana mna walimu wengi wa Kiswahili nje than us wakati njie hamkijui..hatuwachukii ila mnajistukia sana labda kuna hujuma...
  7. S

    Sifa kumi za mwanamke asiyekupenda

    Chriss brown!!!!! Da umenigusa hapo, mi mwenyewe yashawahi kunipata,aliipona simwachi...akaniambia yeye hawezi fanya ngono nami milele...Nikamwambia tuachane,duuuh akafurahiii up to now more than 2 years hajanitafuta sijamtafuta.
  8. S

    Kenya is more peaceful than Tanzania

    I support u...Tanzania ina utulivu, haina amani! U r not Nyang'au as Hute said
Back
Top Bottom